Fene
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 2,824
- 4,447
Dah!![emoji35][emoji35][emoji35]
adriz nakuomba uwe muadilifu eti unaongoza kunitwanga au mimi kukutwanga
Hii comment ya huyu kiande wa mfano humu imenitia hasira sana
Nguvu ya kuongea upupu huu unaitolea wapi ndugu bwana kiande Wakipekee wakati hujawahi nifunga hata siku moja, droo na mim bado kwako ndoto licha ya michezo yote tuliyocheza
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app