Dream League Soccer Special Thread

Nahitaji msaada jinsi ya kulicheza .maana niko level 1 ila sasa nafungwa sana mpaka napata hasira ,wachezaji hawakabi kila kona goli ....nakuwa wa 6 au 13 mwishoni
Tier one unakutana na size yako halafu sahizi ukikutana na mtu ambaye wachezaji wake fitness iko maxmum hushindi. Gemu limekua gumu kweli kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…