Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
nashukuru mola nime pata site ya ku recommend na ku compare series.Kaka umenipa movie sita leo tuuπππ
Tier one unakutana na size yako halafu sahizi ukikutana na mtu ambaye wachezaji wake fitness iko maxmum hushindi. Gemu limekua gumu kweli kweliNahitaji msaada jinsi ya kulicheza .maana niko level 1 ila sasa nafungwa sana mpaka napata hasira ,wachezaji hawakabi kila kona goli ....nakuwa wa 6 au 13 mwishoni
Nilisinzia mzei baada ya mamelodi kuchana mikeka yangu yote hata uefa sijaangalia tupige kesho kapigwa kimoko hata over hajatoaNipo around ukifika weka code tuu
Viwango vyenu tu vijana, hii kitu Ina wenyewe ka sisiTier one unakutana na size yako halafu sahizi ukikutana na mtu ambaye wachezaji wake fitness iko maxmum hushindi. Gemu limekua gumu kweli kweli
Unacheza??Viwango vyenu tu vijana, hii kitu Ina wenyewe ka sisi
Nili cheza, kwa Sasa nacheza ps and PC games tu.Unacheza??
Pole sana mkuuNilisinzia mzei baada ya mamelodi kuchana mikeka yangu yote hata uefa sijaangalia tupige kesho kapigwa kimoko hata over hajatoa
πππHiyo ni kazi yakonashukuru mola nime pata site ya ku recommend na ku compare series.
yaani Kama uli ipenda big mouth, Wana kupa genre hiyo au kali zaidi ya hiyo.
maana nili kosa series kabisaππ€£
Huyu hata sio live ni career gamesTier one unakutana na size yako halafu sahizi ukikutana na mtu ambaye wachezaji wake fitness iko maxmum hushindi. Gemu limekua gumu kweli kweli
Kumbe naongea na noobs (kibonde)Huyu hata sio live ni career games
Ndiyo mkuuKumbe naongea na noobs (kibonde)
CodeNdiyo mkuu
Kama utakuwepo baada ya dakika 20 twendeCode
Sio muda huu nipe kama dakika 20 hivi maana nipo road hapaXzbt twende
Bado upo??Xzbt twende
Upo??Bado upo??
NipoBado upo??
Tunapishana kama muda huu haupoNipo
Una ufala mwingi sana kaka ππUpo??