Nilikuwa namfundfisha boli Frustration na nimesikitika sana kiwango changu kimeshuka nimeambulia goli tatu kwani ilibidi ale 9 kama mshikaji hapo juuView attachment 2294820
Nitakuwekea kiungo mmoja wa hatari sana maana unaniotea mda wote.Poa twende now gelentii mpk 8:14
Poa sasa code Delle4 mwisho 8:36 kama haijafikia natokaWe jamaa[emoji23][emoji23][emoji23]..!! Twende game tatu nakusearch now
Nilikuwa namfundfisha boli Frustration na nimesikitika sana kiwango changu kimeshuka nimeambulia goli tatu kwani ilibidi ale 9 kama mshikaji hapo juuView attachment 2294820
Kodi gani unatumiaWe jamaa[emoji23][emoji23][emoji23]..!! Twende game tatu nakusearch now
Nitakuwekea kiungo mmoja wa hatari sana maana unaniotea mda wote.
Ww dakika za mwanzo kutokana na mtandao wachezaji wangu wanakuwa inactive hadi mpira utoke nje,ufunge au itokee faulo.Mtu amekula red dakika ya 3
Unajua namna ya kucheza wawili?Sawa
Unajua namna ya kucheza wawili?
Kikosi chako nilivyokiona nikicheka sana eti mido Lukaku 😂😂Sijakuelewa ndg. Kuchezaje wawili??
Kaunta zimeniathiri sana mpk nacheza mpira mbovu ziwezi kutumia mfumo mwengine ila kwa vile ushindi napata kaunta itaendelea kutamba.
Nikifungwa na mtu hapa Jf nitaomba Moderator anipe ban ya wiki najiamini kama master asiyefungika.
Kikosi chako nilivyokiona nikicheka sana eti mido Lukaku [emoji23][emoji23]
Ban ilikuwa jana tu na kwa Frustration ila sasa nimeshakusoma mchezo wako time nyingine tu play tatu ubingwa tutahesabu point na zikilingana magoli hapo ukitoboa niitwe paka humu .Nashukuru kwa hizo game tatu mkuu..!! Naweka simu charge takusearch tena time nyingine. Mod asikupe ban lakini ili niweze kukupata humu.
Me nimeanza kucheza mda sana ila wachezaji nnaowekewa sokoni ni viande kinoumaUnaingia sokoni mchawi mpunga wa kutosha na ili upate inatakiwa uongeze ukubwa wa uwanja zikija options za kuwatch video unwatch ili coins ziongekeze.
Kwenye usajili DLS 22 unaingia sehemu ya transfer utaona wachezaji wapo sokoni ila mara nyingi wanakuja vibonde labda kidogo uwe ligi za juu ndio unawekewa mchezaji mzuri kwenye transfer list ya wachezaji.Sasa mbinu nzuri ya kumpata mchezaji wa kiwango tumia scout View attachment 2291074
Kisha chagua skauti wa mwishoni ambaye dau lake ni coin 500 na mchezaji anyemleta ni kuanzia coin 1500 -2000 sasa ukitaka kupata mchezaji wa uhakika Ingia sokoni na hela kuanzia 2000Coin View attachment 2291082
Nb :Njia nyingine kila baada ya mechi pitia sokoni unaweza kuta mchezaji mzuri wamemuweka hivyo unamdaka chap bila kumpa hela skauti .
We tafuta gemu la kucheza hata kupanga viboksi yaani haiwezekani nacheza na kukufunga huku nakuhurumia halafu wewe eti ndio muanzilishi wa huu uzi😂😂😆Nitakuwekea kiungo mmoja wa hatari sana maana unaniotea mda wote.
Ban ilikuwa jana tu na kwa Frustration ila sasa nimeshakusoma mchezo wako time nyingine tu play tatu ubingwa tutahesabu point na zikilingana magoli hapo ukitoboa niitwe paka humu .
Nakazia hutoboi kabisa mimi ndio Master na Ticha humu yakariri maneno yangu .
privacy baada ya kusoma mchezo wako mechi ya mwisho nikabadili formation nikaweka mabeki watano haukufua dafu nikakuzidi mpk possessionView attachment 2294860
Mechi ya kwanza ulinifunga magoli ya mchongo bila move yyte mabeki wanatoa boko kwenye boksi ya pilli umenipiga Nne hata sijui zilikuja vipi wakati nilikuwa na mchezo mzuri ola goli la kuchoma kipa lilinitoa mchezoni
Bora ufocous kujenga uwanja na kupanda daraja huku ukisajili viande wa wastani wakusaidia kupande baadae uwarelease maana kila unavyopanda wanakuletea wakali.Me nimeanza kucheza mda sana ila wachezaji nnaowekewa sokoni ni viande kinouma