Dream League Soccer Special Thread

Dream League Soccer Special Thread

Kaunta zimeniathiri sana mpk nacheza mpira mbovu ziwezi kutumia mfumo mwengine ila kwa vile ushindi napata kaunta itaendelea kutamba.

Nikifungwa na mtu hapa Jf nitaomba Moderator anipe ban ya wiki najiamini kama master asiyefungika.

Nashukuru kwa hizo game tatu mkuu..!! Naweka simu charge takusearch tena time nyingine. Mod asikupe ban lakini ili niweze kukupata humu.
 
Kikosi chako nilivyokiona nikicheka sana eti mido Lukaku [emoji23][emoji23]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mmoja nishawahi cheza naye kipa yupo Ronaldo alafu mabeki wote ni strikers
 
privacy baada ya kusoma mchezo wako mechi ya mwisho nikabadili formation nikaweka mabeki watano haukufua dafu nikakuzidi mpk possession
Screenshot_20220718_085450.jpg


Mechi ya kwanza ulinifunga magoli ya mchongo bila move yyte mabeki wanatoa boko kwenye boksi ya pilli umenipiga Nne hata sijui zilikuja vipi wakati nilikuwa na mchezo mzuri ola goli la kuchoma kipa lilinitoa mchezoni
 
Nashukuru kwa hizo game tatu mkuu..!! Naweka simu charge takusearch tena time nyingine. Mod asikupe ban lakini ili niweze kukupata humu.
Ban ilikuwa jana tu na kwa Frustration ila sasa nimeshakusoma mchezo wako time nyingine tu play tatu ubingwa tutahesabu point na zikilingana magoli hapo ukitoboa niitwe paka humu .

Nakazia hutoboi kabisa mimi ndio Master na Ticha humu yakariri maneno yangu .
 
Unaingia sokoni mchawi mpunga wa kutosha na ili upate inatakiwa uongeze ukubwa wa uwanja zikija options za kuwatch video unwatch ili coins ziongekeze.

Kwenye usajili DLS 22 unaingia sehemu ya transfer utaona wachezaji wapo sokoni ila mara nyingi wanakuja vibonde labda kidogo uwe ligi za juu ndio unawekewa mchezaji mzuri kwenye transfer list ya wachezaji.Sasa mbinu nzuri ya kumpata mchezaji wa kiwango tumia scout View attachment 2291074

Kisha chagua skauti wa mwishoni ambaye dau lake ni coin 500 na mchezaji anyemleta ni kuanzia coin 1500 -2000 sasa ukitaka kupata mchezaji wa uhakika Ingia sokoni na hela kuanzia 2000Coin View attachment 2291082

Nb :Njia nyingine kila baada ya mechi pitia sokoni unaweza kuta mchezaji mzuri wamemuweka hivyo unamdaka chap bila kumpa hela skauti .
Me nimeanza kucheza mda sana ila wachezaji nnaowekewa sokoni ni viande kinouma
 
Nitakuwekea kiungo mmoja wa hatari sana maana unaniotea mda wote.
We tafuta gemu la kucheza hata kupanga viboksi yaani haiwezekani nacheza na kukufunga huku nakuhurumia halafu wewe eti ndio muanzilishi wa huu uzi😂😂😆
 
Ban ilikuwa jana tu na kwa Frustration ila sasa nimeshakusoma mchezo wako time nyingine tu play tatu ubingwa tutahesabu point na zikilingana magoli hapo ukitoboa niitwe paka humu .

Nakazia hutoboi kabisa mimi ndio Master na Ticha humu yakariri maneno yangu .

Hahahahaaaa..!! Poa poa mkuu. Nitakuhabarisha
 
privacy baada ya kusoma mchezo wako mechi ya mwisho nikabadili formation nikaweka mabeki watano haukufua dafu nikakuzidi mpk possessionView attachment 2294860

Mechi ya kwanza ulinifunga magoli ya mchongo bila move yyte mabeki wanatoa boko kwenye boksi ya pilli umenipiga Nne hata sijui zilikuja vipi wakati nilikuwa na mchezo mzuri ola goli la kuchoma kipa lilinitoa mchezoni

Hamna neno
 
Me nimeanza kucheza mda sana ila wachezaji nnaowekewa sokoni ni viande kinouma
Bora ufocous kujenga uwanja na kupanda daraja huku ukisajili viande wa wastani wakusaidia kupande baadae uwarelease maana kila unavyopanda wanakuletea wakali.

Ila wakati mwingine wanaleta surprise so tembelea market kila baada ya mechi au tumia pesa chukua skauti wa bei ghali upate player wa uhakika.
 
Back
Top Bottom