Dream League Soccer Special Thread


Ila huna historia ya kunifunga goli tatu,
Me leo nimekuwasha

Sent using Jamii Forums mobile app

[emoji23][emoji23][emoji23]
Ila huna historia ya kunifunga goli tatu,
Me leo nimekuwasha

Sent using Jamii Forums mobile app
Waambie mashabiki tumecheza mechi ngapi umenifunga ngapi na nimekufunga ngapi na jumla ya magoli yote kwa mechi tulizo cheza jana .

Je umevunja unyonge jana ?

Ahadi yako ya dozi umeitimiza kwa mechi tulizo cheza ?

Kati ya wewe na mimi nani anapaswa kumuita mwenzie bingwa kwa mechi tulizo cheza mpk sasa ?


Nb:Usiruke swali hata moja.
 
Mimi nimefanya hivyo sababu unakimbia hoja dhaifu na kuonyesha mechi moja bila kutoa muongozo mzima wa mechi za jana .

Ngoja nikusaidia kwa mechi tulizo cheza jana hujanizidi kea magoli wala mechi za kunifunga (points) sasa ujasiri wa kuja humu inatoka wapi wakati kea jana ulitakiwa ulipe kisasi kwa kunifunga na haujatimiza?

Man U msimu ulioisha mechi ya kwanza alishinda 5-0 na msimu ulipoisha alikuwa nafasi mbaya na GD 0 sasa mbona Man U hawajisifii utoto wa kushinda goli 5 kama wewe ?

Mimi na wewe kea mechi tulizocheza mpk sasa nani bingwa?
 
[emoji23][emoji23]
Dah! tambo zote bwana adriz zimemuisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Toa mrejesho mechi za jana kipi umenizidi magoli au mechi za kunifunga ? Jibu mbona hutoa mrejesho unawahadaa mashabiki kea mechi mmoja wakati hujanizidi chochote kwa jana na siku zote..

Mimi na wewe kitakwimu kwa jana na siku zote nani bingwa ? πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜† mbona unajifurahisha kwa mambo madogo frustration alivyonifunga siku ile nilikubali coz sikumzidi kwa siku ile magoli wala points(idadi ya mechi alizonifunga) sasa wewe kwa jana umenizidi nini mbona unawadanganya mashabiki bila aibu..
 
Kumbuka bwana adriz sijaja hapa kujitokeza na kusema rasmi adriz nimemfunga na kuanzia sasa haniwezi kama walivyofanya wengine (japo wote ni vibonde kwangu, nishawatembezea moto)

Ila nilichosema najivunia tangia tuanze kucheza na wew mim ndie nashikilia rekodi ya ushindi mkubwa zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya pampana ufike rekodi za kunifunga ili ujisifie kea rekodi kama hizi.
 
Poa tutajaribu tena leo, mida ile kuanzia 4 kama utakua na wasaa
Sawa, ila nipe heshima ya ubingwa ukinitag anza na neno bingwa au Master coz mpk sasa hakuna siku uliyonizidi zaidi ya kwanza tuliozocheza ukakimbia siku zote huwa nakuzidi au sare base jitahidi leo unizidi hata kwa jumla ya magoli ukishindwa points.
 
Sawa, ila nipe heshima ya ubingwa ukinitag anza na neno bingwa au Master coz mpk sasa hakuna siku uliyonizidi zaidi ya kwanza tuliozocheza ukakimbia siku zote huwa nakuzidi au sare base jitahidi leo unizidi hata kwa jumla ya magoli ukishindwa points.
Jana ulinikuta nimechoka nilicheza online league sana mida ile kabla ndomana, ningekuchakaza jana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…