Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]SijaQuit network imekata ?nitaquit vipi wakati nimeshinda na mechi nimeitawala [emoji23][emoji23]
Waambie mashabiki tumecheza mechi ngapi umenifunga ngapi na nimekufunga ngapi na jumla ya magoli yote kwa mechi tulizo cheza jana .[emoji23][emoji23][emoji23]
Ila huna historia ya kunifunga goli tatu,
Me leo nimekuwasha
Sent using Jamii Forums mobile app
Soma hiyo !!!![emoji23][emoji23][emoji23]
Ila huna historia ya kunifunga goli tatu,
Me leo nimekuwasha
Sent using Jamii Forums mobile app
@adriz unataka kuua ladha ya ushindani kwa kuleta unafiki wako hapa, hiyo game umenifunga tatu mbona hatuoni washindaji??!!Soma hiyo !!!!View attachment 2333145
Jamaa ashakua mandoga hyu.@adriz unataka kuua ladha ya ushindani kwa kuleta unafiki wako hapa, hiyo game umenifunga tatu mbona hatuoni washindaji??!!
Ona hata aibu basi[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Alete kama hii
[emoji23][emoji23]Alete kama hiiView attachment 2333155
Mimi nimefanya hivyo sababu unakimbia hoja dhaifu na kuonyesha mechi moja bila kutoa muongozo mzima wa mechi za jana .
Toa mrejesho mechi za jana kipi umenizidi magoli au mechi za kunifunga ? Jibu mbona hutoa mrejesho unawahadaa mashabiki kea mechi mmoja wakati hujanizidi chochote kwa jana na siku zote..
Hii hapa una neno ?Alete kama hiiView attachment 2333155
Kumbuka bwana adriz sijaja hapa kujitokeza na kusema rasmi adriz nimemfunga na kuanzia sasa haniwezi kama walivyofanya wengine (japo wote ni vibonde kwangu, nishawatembezea moto)Toa mrejesho mechi za jana kipi umenizidi magoli au mechi za kunifunga ? Jibu mbona hutoa mrejesho unawahadaa mashabiki kea mechi mmoja wakati hujanizidi chochote kwa jana na siku zote..
Mimi na wewe kitakwimu kwa jana na siku zote nani bingwa ? [emoji23] [emoji23] [emoji38] mbona unajifurahisha kwa mambo madogo frustration alivyonifunga siku ile nilikubali coz sikumzidi kwa siku ile magoli wala points(idadi ya mechi alizonifunga) sasa wewe kwa jana umenizidi nini mbona unawadanganya mashabiki bila aibu..
Haya pampana ufike rekodi za kunifunga ili ujisifie kea rekodi kama hizi.Kumbuka bwana adriz sijaja hapa kujitokeza na kusema rasmi adriz nimemfunga na kuanzia sasa haniwezi kama walivyofanya wengine (japo wote ni vibonde kwangu, nishawatembezea moto)
Ila nilichosema najivunia tangia tuanze kucheza na wew mim ndie nashikilia rekodi ya ushindi mkubwa zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Poa tutajaribu tena leo, mida ile kuanzia 4 kama utakua na wasaaHaya pampana ufike rekodi za kunifunga ili ujisifie kea rekodi kama hizi.
Sawa, ila nipe heshima ya ubingwa ukinitag anza na neno bingwa au Master coz mpk sasa hakuna siku uliyonizidi zaidi ya kwanza tuliozocheza ukakimbia siku zote huwa nakuzidi au sare base jitahidi leo unizidi hata kwa jumla ya magoli ukishindwa points.Poa tutajaribu tena leo, mida ile kuanzia 4 kama utakua na wasaa
Jana ulinikuta nimechoka nilicheza online league sana mida ile kabla ndomana, ningekuchakaza janaSawa, ila nipe heshima ya ubingwa ukinitag anza na neno bingwa au Master coz mpk sasa hakuna siku uliyonizidi zaidi ya kwanza tuliozocheza ukakimbia siku zote huwa nakuzidi au sare base jitahidi leo unizidi hata kwa jumla ya magoli ukishindwa points.