Dream League Soccer Special Thread

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 

Attachments

  • Screenshot_2022-08-26-10-57-33-35.png
    171.4 KB · Views: 6
Oya adriz tatizo nin ndug yangu[emoji23][emoji23][emoji23]

Hadi kangaloo
Nilipata dharura kuna mtu muhimu alikuja nikwiti chap ,uoni mimi nimeandikiwa goli Yeye magoli yake manne hayajaonyeshwa na nilikuwa nishamfunga ?
 
Haaa!

Ya kweli haya au[emoji23][emoji23][emoji23]
Nilikua namfunga 7 dakika ya Nne tu kapigwa kimoja huoni yeye magoli yake hakuna washindaji mimi nikiQuit baada ya kupata dharura ya ghafla .
 
Nilipata dharura kuna mtu muhimu alikuja nikwiti chap ,uoni mimi nimeandikiwa goli Yeye magoli yake manne hayajaonyeshwa na nilikuwa nishamfunga ?
Ahaa nishaona

Nilitaka niishangae hii comeback ya mr Kangaloo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…