Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona kiande na wew ulijikamatia mnyonge wakoHuyu kiande akitaje mwenyewe alivamia code kumbe kadandia mtumbwi wa vibwengo na nahisi atakuwa Nkulu wa nchito sasa nimemkalisha Master nimerudi sitaki vibonde watawale
Na natoa into kali kwa yeyote atakaye kujaView attachment 2365082
Hongera ila fahamu humu kuna king Fenemwenzako nimemnyoosha hukoView attachment 2365090
Dah! [emoji24][emoji24][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji23] mkuu umetoa timu uwanjaniView attachment 2365107
ah hali ya hewa haikuruhusu mchezo kuendelea[emoji1]Dah! [emoji24][emoji24]
Masikitiko kwa mwanafunz wangu adriz
kaka mdomo utakuponza huoHongera ila fahamu humu kuna king Fene
Ndie master humu, ni mtu asie na maneno mengi kazi yake kubwa humu ni kugawa dozi tu
NipoNatafuta kibonde
mkuu twende friendly mojaUpo ?
Upo niweke code ?mkuu twende friendly moja
Emb weka code tupasheUpo niweke code ?
1020AEmb weka code tupashe
Emb weka code tupashe
Mbona hamtokei wakati mnanisumbua kiniQuote ?mkuu twende friendly moja
Nishaingia baba emb tokeaMbona hamtokei wakati mnanisumbua kiniQuote ?
Vp Tena kiongoz mbona umetokaMbona hamtokei wakati mnanisumbua kiniQuote ?
hhaha kaka wengine tupo nje ya mji kdg mtandao changamoto,haya weka twendeMbona hamtokei wakati mnanisumbua kiniQuote ?
uko fresh?Vp Tena kiongoz mbona umetoka