Frustration
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,134
- 4,124
- Thread starter
-
- #1,581
sina uhakika sana ila ugumu wa game unatokana na ligi na uwezo wa timuPia nimegundua kwenye ligi computer ikiazima mchezaji eg. Kane akachezea Man U basi kushinda hiyo mechi huwa ni ngumu sana. Cjui kwa wenzangu labda mie ni kibonde sana😀
tafuta beki mzuri mwenye namba asilia 3 au 2 maana ndiko kwenye tatizo hili mfano hakimi harudi nyuma akicheza 2Dah mi siku zote nikicheza hii game online internet huwa changamoto na ninatumia voda ila hivyo hivyo huwa nashinda na sometimes nachapwa. Ligi tu ndo huwa haisumbui😢 ila hilo suala la beki wangu kuwa kama anavutwa kurudi nyuma hata kwenye ligi sometimes huwa linatokea
ulipigwa?umejitahid ila wewe ni mgeni sio?
Backline yangu ndo hiyo mkuu, na kwenye sub hapo juu, na matip pia ninae je hawatoshi? Hakimi namuonaga ila nampuuziaga kumsajili naonaga kama kikosi kinatosha, nikimuona tena nitamsajili ila accomodation yangu ishajaa lazima nipunguze beki m1 sasa kwa uzoefu wako kati ya hao beki zangu yupi kilaza ampishe Hakimi?tafuta beki mzuri mwenye namba asilia 3 au 2 maana ndiko kwenye tatizo hili mfano hakimi harudi nyuma akicheza 2
Kwa sasa nipo division 1. Kuna timu nikikutanaga nazo kwenye global challenge mpaka vidole vinapata moto ie; man u, tottenhamsina uhakika sana ila ugumu wa game unatokana na ligi na uwezo wa timu
Mi jana nimepiga mtu 5:0 GLOBAL CHALLENGEKwa sasa nipo division 1. Kuna timu nikikutanaga nazo kwenye global challenge mpaka vidole vinapata moto ie; man u, tottenham
Vibonde hawakosekanagi mzee. Na hata hizo timu ngumu ni zinasumbua tu ila kama kikosi chako imara zinakaa. Ila kuna muda huwa linapigwa mbungi mpaka najisemea kuwa leo computer imeamua isinipe ushindi hapo lazima ukae, Kila ukiweka zinagonga nginja tuu😄Mi jana nimepiga mtu 5:0 GLOBAL CHALLENGE
mendi sio mzur ila Anald yupo poa muongeze na HakimiBackline yangu ndo hiyo mkuu, na kwenye sub hapo juu, na matip pia ninae je hawatoshi? Hakimi namuonaga ila nampuuziaga kumsajili naonaga kama kikosi kinatosha, nikimuona tena nitamsajili ila accomodation yangu ishajaa lazima nipunguze beki m1 sasa kwa uzoefu wako kati ya hao beki zangu yupi kilaza ampishe Hakimi?
mtandao ulipo unashida haupo na nguvuMbona inazingua sana.live ni shida na friend match ni shida..hazifunguki
ngoja ucheze legendary uoneKwa sasa nipo division 1. Kuna timu nikikutanaga nazo kwenye global challenge mpaka vidole vinapata moto ie; man u, tottenham
Weka screenshot tujue tunakusaidia vipi ..Mbona inazingua sana.live ni shida na friend match ni shida..hazifunguki
Sawa, ila jua hii ni Newcastle nyingine ya mwaka 2023 iliyojipanga kwa mapinduzi kwenda kuzoa vikombe vyote kwa bwana SingasingaSijaupdate bado nikiupdate itaendelea hata ukiisha wiki iatahamia kwa mechi tano sharti ushinde .