MshareJina nan
Wewe unatumia jina ganiJina nan
sahzWewe unatumia jina gani
Mkuu ongeza bidiiPoa natumia xzibits fc twende
sahz
Mkuu ningekuomba tukipute tena alhamis usiku
Goat wa huu uzi nitakutafuta alhamis usiku tukiwasheMkuu ongeza bidii
Naona unatamba na za kale tu[emoji23][emoji23]Mr Fene natumaini huko ulipo ushaanza kuota kitambi sasa nakuonya usijisahaulishe Master nakwenda kurekebisha simu yangu na kuja kuendeleza kutoa dozi pale nilipoishia .
Kumbukumbu za mwaka huu.
1.Siku ya mwisho gemu mechi 5 nimeshinda tatu huku ww ukishinda mbili.
2.Rekodi kubwa ya mechi 14 kushinda mechi 1
3.Kipigo kikali zaidi cha goli nyingi na Kapa(kwa sifuri)View attachment 2509192
View attachment 2509191
Hizi za mwaka huu ,leta zako za mwaka huu tuone Master nipo njiani kurudi..Naona unatamba na za kale tu[emoji23][emoji23]
Mi nikileta zangu unapanic
Haina noma mkuu wewe tu..Goat wa huu uzi nitakutafuta alhamis usiku tukiwashe
Kama utakuwepo leo mida ya night nipo tayari kukufundisha sokaAnaeweza bolu anichek tukiwashe
Mkuu leo mida ya night ningehitaji nikufundishe soccer linachezwajeHaina noma mkuu wewe tu..
Nmeku pmMkuu leo mida ya night ningehitaji nikufundishe soccer linachezwaje
Mr Kiande naona unatambua baada ya Master kusafiri kwa muda soon nitarudi humu kuendeleza ubabe wangu.Mkuu leo mida ya night ningehitaji nikufundishe soccer linachezwaje
Nishakuchek, poa tutakiwashaNmeku pm
Wwe hamna kitu, janjajanja tu nyingiMr Kiande naona unatambua baada ya Master kusafiri kwa muda soon nitarudi humu kuendeleza ubabe wangu.
Mechi 14 vipigo tu vikali vimetawala na haujapata ushindi ni janjajanja ? anyway sitaki nimalize maneno sitocomment tena uzi huu mpaka nitakapo kuja kuleta screenshots za aibu baada ya kichapo nitakachokitembeza nitakapo rudi .Wwe hamna kitu, janjajanja tu nyingi
Naona huu msimu uliuanza kwa moto ukachukulia tayar ushaniweza[emoji23][emoji23][emoji23]Mechi 14 vipigo tu vikali vimetawala na haujapata ushindi ni janjajanja ? anyway sitaki nimalize maneno sitocomment tena uzi huu mpaka nitakapo kuja kuleta screenshots za aibu baada ya kichapo nitakachokitembeza nitakapo rudi .
Ngoja The Great Master GOAT nitulie niache vitendo viongee. ee