Dream League Soccer Special Thread

Dream League Soccer Special Thread

Mr Fene natumaini huko ulipo ushaanza kuota kitambi sasa nakuonya usijisahaulishe Master nakwenda kurekebisha simu yangu na kuja kuendeleza kutoa dozi pale nilipoishia .


Kumbukumbu za mwaka huu.
1.Siku ya mwisho gemu mechi 5 nimeshinda tatu huku ww ukishinda mbili.

2.Rekodi kubwa ya mechi 14 kushinda mechi 1

3.Kipigo kikali zaidi cha goli nyingi na Kapa(kwa sifuri)
IMG_20230207_120615.jpg


IMG_20230207_120658.jpg
 
Mr Fene natumaini huko ulipo ushaanza kuota kitambi sasa nakuonya usijisahaulishe Master nakwenda kurekebisha simu yangu na kuja kuendeleza kutoa dozi pale nilipoishia .


Kumbukumbu za mwaka huu.
1.Siku ya mwisho gemu mechi 5 nimeshinda tatu huku ww ukishinda mbili.

2.Rekodi kubwa ya mechi 14 kushinda mechi 1

3.Kipigo kikali zaidi cha goli nyingi na Kapa(kwa sifuri)View attachment 2509192

View attachment 2509191
Naona unatamba na za kale tu[emoji23][emoji23]

Mi nikileta zangu unapanic
 
Wwe hamna kitu, janjajanja tu nyingi
Mechi 14 vipigo tu vikali vimetawala na haujapata ushindi ni janjajanja ? anyway sitaki nimalize maneno sitocomment tena uzi huu mpaka nitakapo kuja kuleta screenshots za aibu baada ya kichapo nitakachokitembeza nitakapo rudi .

Ngoja The Great Master GOAT nitulie niache vitendo viongee. ee
 
Mechi 14 vipigo tu vikali vimetawala na haujapata ushindi ni janjajanja ? anyway sitaki nimalize maneno sitocomment tena uzi huu mpaka nitakapo kuja kuleta screenshots za aibu baada ya kichapo nitakachokitembeza nitakapo rudi .

Ngoja The Great Master GOAT nitulie niache vitendo viongee. ee
Naona huu msimu uliuanza kwa moto ukachukulia tayar ushaniweza[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom