We jamaa acha uongo hatujawahi kuchezaHuyo jamaa alinikimbia ali cancel mechi baada ya kumpa kipigo cha nguvu, ndio maana nasema humu wote ni viande sijaona kabisa. Yaani humu mtihani nitakao wapa ni kuzuia nisifunge kuanzia goli 10 nisipo fikisha hizo goli basi wewe umeshinda
We jamaa acha uongo hatujawahi kucheza
Basi kijana wangu Fene ameniangusha sana ,hii comment ngoja niisevu utakuja kuilipiaHuyo jamaa alinikimbia ali cancel mechi baada ya kumpa kipigo cha nguvu, ndio maana nasema humu wote ni viande sijaona kabisa. Yaani humu mtihani nitakao wapa ni kuzuia nisifunge kuanzia goli 10 nisipo fikisha hizo goli basi wewe umeshinda
Sina historia ya kuquit humuWe kataa tu, ni kwa I'd nyingine
Sina historia ya kuquit humu
Umebahatisha game hii, mwenyewe unajuaNishamtwanga fence uko na maroboti yake Yana 95
Lete codeNjoo uzuie nisifunge goli 10
@Fene ana maroboti tupu hakuna anachokosa kikosini mwake lakini nado kiande, mimi ningekuwa kama yeye hata safe ingekuwa mwili kwangu.Nishamtwanga fence uko na maroboti yake Yana 95
😀😀😀Goli nne?Umebahatisha game hii, mwenyewe unajua
4 sio kubahatisha wewe rasmi ni kibonde wa huu uzi.Umebahatisha game hii, mwenyewe unajua
Tazama magoli niliyokukosa kama John bocco wa Simba[emoji3][emoji3][emoji3]Goli nne?
Ah madude yana 95@Fene ana maroboti tupu hakuna anachokosa kikosini mwake lakini nado kiande, mimi ningekuwa kama yeye hata safe ingekuwa mwili kwangu.
Kongole sana kwao kumfundisha aadabu Fene sasa hivi nishamtoa kwenye top Elites wa huu uzi kwa kipingo hiko ukichompa cha aibu kabisa..
Ya kwanza yenye umeshinda Kwa mbinde kimojaTazama magoli niliyokukosa kama John bocco wa Simba
Twende kinumboTengenezeni ligi niwanyooshe
Kitakwimu tumecheza 2 nimemfunga moja kanifunga 14 sio kubahatisha wewe rasmi ni kibonde wa huu uzi.
Twende moja ya mwisho tumalize ubishiTwende kinumbo