Twende 0022Twende moja ya mwisho tumalize ubishi
Mbona sikuoniTwende 0022
Kuna mtu ka interfere codeMbona sikuoni
Twende na hii BasiKuna mtu ka interfere code
Twende mzeeMi nitakua wa kwanza
Nimekimbia wapi??Vp mbona umekimbia mzee
Nimekimbia wapi??
Nimekimbia wapi??
Duuuh.. hiyo team iliyokimbia inaitwaje??Mechi imeanza, umeona kikosi, umekimbia[emoji1475]
SeriouslyHumu watu wanamaneno sana kupita vitendo[emoji23][emoji23] kiufupi hakuna yeyote humu aliyewahi kunifunga..
Unajua lkn au unamuita mwenzio Kibonde kumbe nyote mmekutana wote vibondeKumbe wewe kibonde tu.
Upo nikufundishe soka linavyochezwa?Duuuh.. hiyo team iliyokimbia inaitwaje??