Nimeshamjibu hapoSwali zuri
Ningependa nanyi muwe na vikosi bora ili walau nipate upinzani humu maana kuna huyu jamaa adriz ni ngoma haswaa, ana kikosi kizuri lakini hana kituNdio Bora watuelekeze buana maana Mimi nacheza nashindwa kabisa mchezaji WA ghali unakuta mmoja ni coin 920 Kila mmoja wale wachezaji wakubwa halafu unakuta mtu ana team ametengeneza wachazaji wote ni kuwango Cha juu mmewezaje? Nalipenda sana hili game
Oooh Ahsante sana Mkuu ngoja nijitahidi Sasa maana ndio kwanza nipo 55,000Kwanza unatakiwa u upgrade kiwanja chako hadi uweze ingiza 85000 fans
Hapo klabu itakuwa na uwezo wa kupanda hadi legendary division ambapo mech za huko utaweza ingiza coins nying per home games,
Kila utakapocheza career games zaidi ndipo utakapojikusanyia coins nying zaidi
Una lipi la kuwaambia wanadream,Haijawahi kutokea bonge mechi ,Halaand ilibidi amalize mapema akagonga nguzo dkk za majeruhi kisha ukachomoa dkk za Mareruhi tena Neymar akashinda kiulaini baada ya purukushani huku ulianza dhihaka za emoji wakati haujavuka mtoa.
Natuma salamu kwa Singasinga nitamuaibisha bora aendelee kukimbia kama jana.
Sasa naenda kumsaka Singasinga popote alipo, natak ndani ya jf ifahamike mim ndie king wa dream league soccerHaijawahi kutokea bonge mechi ,Halaand ilibidi amalize mapema akagonga nguzo dkk za majeruhi kisha ukachomoa dkk za Mareruhi tena Neymar akashinda kiulaini baada ya purukushani huku ulianza dhihaka za emoji wakati haujavuka mtoa.
Natuma salamu kwa Singasinga nitamuaibisha bora aendelee kukimbia kama jana.
Ila nilicheka zaid ile game ya mwisho baada ya kukuvunja goli la 4 hukusubir filimbi ya muamuzi ukala nduki[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Master nauliza nani mwingine anahitaji kichapo na kudai ufalme humu ? Kiande Fene nimeshamshona mdomo.
[emoji16]Labda mtafute mwingine wa kunivua ufalme hapa ila sio wewe wala mnyonge wangu wa kudumu adrizNinakuapia baada ya kipondo cha jana utapumzika kucheza dream ndani ya mwez 1
Maana maumivu yake hata mimi nimeya feel Kaka[emoji23][emoji23][emoji23]
DLS 23 inaruhusu kuedit name mbona sioni hiyo option ?
Watu wa Photoshop wamefanya yao, sio yeyeDLS 23 inaruhusu kuedit name mbona sioni hiyo option ?
Huyo jamaa wako pozi lake linachekesha sana.
Na wew soon utaingia ktk mdomo wa mamba
Pitia uzi wote utakuta kwenye baadhi ya pages Master nimetoa full muongozo na mbinu za kupata coins haraka na management yake, vilevile wengine pia wametelekeza humu.Ndio Bora watuelekeze buana maana Mimi nacheza nashindwa kabisa mchezaji WA ghali unakuta mmoja ni coin 920 Kila mmoja wale wachezaji wakubwa halafu unakuta mtu ana team ametengeneza wachazaji wote ni kuwango Cha juu mmewezaje? Nalipenda sana hili game
Wewe nilikupiga mechi 13 plus mfululizo halafu siringi,huo upepo wa siku moja nifunge siku mbili mfululizo hapo nikuone mwamba.Una lipi la kuwaambia wanadream,
Mech saba umepigika game 6[emoji23][emoji23]
Tazama baadhi ya takwimu ili ujue hukubahatishwa,
U were dominated by all the waysView attachment 2602067
Hakuna cha kunitisha Master kama Master Jpili kaa mkao wa kufungwa na ukinifunga siku hiyo rasmi nitakuita Master.Ninakuapia baada ya kipondo cha jana utapumzika kucheza dream ndani ya mwez 1
Maana maumivu yake hata mimi nimeya feel Kaka[emoji23][emoji23][emoji23]
TwendeVibonde wenye unafuu naomba tuingie ground 🤣
Cheza na wanafunzi wangu kwanza kabla ya King nisije kupiga bomu monchwari.Vibonde wenye unafuu naomba tuingie ground 🤣