Dream League Soccer Special Thread

Dream League Soccer Special Thread

Haya Fene Mr kiande wasimulie wenzako kilichokukuta
We kiande jana game zote tulizocheza nimekuponda vibayavibaya unapata wapi nguvu ya kuja kutamba kunifunga game tatu katika sita tulizocheza leo? mwenyew ndo ulipanga kulipa kisasi eti[emoji23][emoji23][emoji23] ama kweli wew ni kiande pro
 
We kiande jana game zote tulizocheza nimekuponda vibayavibaya unapata wapi nguvu ya kuja kutamba kunifunga game tatu katika sita tulizocheza leo? mwenyew ndo ulipanga kulipa kisasi eti[emoji23][emoji23][emoji23] ama kweli wew ni kiande pro
Ngoja kwanza nilipe deni la voda Ili ninunue bando la mwezi halafu ntakupa code..
Maana Airtel utanifunga kisa network
 
Master wa dls nipo hapa kuwafundisha boli, msihofu sana nitacheza kwa kiasi kulingana na kiwango cha mpinzani wangu, sitawazalilisha
 
Master wa dls nipo hapa kuwafundisha boli, msihofu sana nitacheza kwa kiasi kulingana na kiwango cha mpinzani wangu, sitawazalilisha
Ukilud weka muda ambao nitakukuta mkuu
 
Iv kwanini tusianzishe ligi😃😃😃ya kufungia mwaka
Tupo karibu watano gemu kumi tunakuwa na msimamo kabisa

Tunakubaliana labda kila siku saa nne usiku ni muda wa kucheza mechi za ligi😃


Nimewaza tu
 
Back
Top Bottom