kijana wa leo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2011
- 2,921
- 7,173
Kufufua shirika la ndege ni jambo zuri sana, kununua ndege mpya ni jambo zuri sana, LAKINI USIRI KATIKA MANUNUZI YA NDEGE HIZO, PESA KUTUMIKA BILA IDHINI YA BUNGE NI JAMBO BAYA SANA KULIKO UZURI WAKE.Hapa tu ndipo ninapomuelewa MAGUFULI kwa ujasiri wake wa ajabu sana juu ya hili shirika letu la NDEGE.....he is the best president ever...nadhani hakuna RAIS wa kufanananishwa nae kwa sasa kwenye hili balaa letu la AFRIKA..
he has done so many wonders within short period of time