TRA watakapokuwa wabakufata ofisini kwako pia usiwakimbie mpe Hongera Rais Magufuli, maana hilo dude linaingiza hasara, na ili kufidia itabid mwananch wa chini Aumie,
Kwahiyo sitarajii kuona Ukileta uzi humu kuwa TRA inakubana na kodi zimeongezeka
Ndege mpya ya ATCL ya Dreamliner, inatarajiwa kuanza safari zake za tarehe 29 Julai 2018 kwenda Mwanza na KLM kwa kishindo baada ya tiketi kuisha mpaka za kufikia tarehe 18 Agosti 2018. Hongera sana Rais Magufuli kwa kufikiria madude kama haya.
View attachment 807780
Chama kimeshika hatamuNdege mpya ya ATCL ya Dreamliner, inatarajiwa kuanza safari zake za tarehe 29 Julai 2018 kwenda Mwanza na KLM kwa kishindo baada ya tiketi kuisha mpaka za kufikia tarehe 18 Agosti 2018. Hongera sana Rais Magufuli kwa kufikiria madude kama haya.
View attachment 807780
Zipo kibao kakate mkuuDaaaaah, nlitaka nikakate tiketi kumbe za karibuni zimeisha?
Usikate tamaa nenda mzee... Hili ni dege bora kabisa barani Afrika. Inadaiwa ni Nchi tatu pekee barani Afrika zenye midege mikubwa na ya kisasa kama hili li-Dreamliner 787. Nyumbani ndo kushanoga hivyo yakheee...Zipo kibao kakate mkuu
Hahahaaaa, huwa wanashuka mmoja mmoja kama wanaenda kununua majiIsije ti ikawa kama vipanyani ambapo wapiga debe hujaa ndani na wengi huamini kipanya kinaondoka soon ghafla mmoja mmoja hutoweka na kujikuta mmebaki 2
Hahahaaaa, huwa wanashuka mmoja mmoja kama wanaenda kununua majiIsije ti ikawa kama vipanyani ambapo wapiga debe hujaa ndani na wengi huamini kipanya kinaondoka soon ghafla mmoja mmoja hutoweka na kujikuta mmebaki 2