Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
propaganda za kitotoAcheni uongo nyie watu!!!!! Mungu anawaona!!!
TrueHongera JPM, Hongera Tanzania. Sasa tunaweza kutembea kifua mbele.
True walahiHii ni aibu kubwa sana kwa chadema
Tatizo liko wapi si zinakuwa zimenunuliwa Na shirika limeingiza pesa? Chadema magwanda ya chadema Huwa mnawauzia CCM? Si mnajiuzia wenyewe?Nchi hii ilivo na masinema sitashangaa nikisikia hizo tiketi zote zimenunuliwa na maccm ili kuonesha kuwa zinauzika
watu ukiwaambia kuwa hizi ndege zinajaa hawakubali sijui wanatakaje?
hivi katika tanzania yenye watu zaidi ya millioni 50 hakuna watu wenye uhitaji wa kupanda ndege 3000 kwa siku? hii ni hesabu rahisi tu wakati ndege zote zikijaza za shirika hilo hawafiki watu 1000?
tumekazana kuwa watapata wapi wateja kweli? yaani unazaa mtoto lakini sala zako unaomba mtoto afe haraka do! sijatembea na kuvuka mpaka lakini tujifikirie upya kwa maslahi ya taifa vinginevyo tusema kuwa tunayopinga tuna furahisha ubongo kupunza stress zetu.
Leta ushahidi kama linaingiza faidaTatizo liko wapi si zinakuwa zimenunuliwa Na shirika limeingiza pesa? Chadema magwanda ya chadema Huwa mnawauzia CCM? Si mnajiuzia wenyewe?
Lakini si Huwa mumeuza? Very poor argument
Imeingizaje hasara wakati haijaanza kazi?TRA watakapokuwa wabakufata ofisini kwako pia usiwakimbie mpe Hongera Rais Magufuli, maana hilo dude linaingiza hasara, na ili kufidia itabid mwananch wa chini Aumie,
Kwahiyo sitarajii kuona Ukileta uzi humu kuwa TRA inakubana na kodi zimeongezeka
Watu washike bomba sio??Kama tiket zimeisha si wasimamishe abaria? Ngoma ishone hadi vyooni[emoji41]
Dk 10 hivi angani likinyanyuka kushika mawingu dk 5 mwanza hii hapa linatua mda mwingi utatumika kwenye kutuaSafi sana,nakumbuka Mwz-Dar kwa Bombadier ni kama saa 1.45 hivi,kwa hilo mashine itachukua muda gani..?
Lipa kodi kama utaona wanakufuata bila sababu za msingi.TRA watakapokuwa wabakufata ofisini kwako pia usiwakimbie mpe Hongera Rais Magufuli, maana hilo dude linaingiza hasara, na ili kufidia itabid mwananch wa chini Aumie,
Kwahiyo sitarajii kuona Ukileta uzi humu kuwa TRA inakubana na kodi zimeongezeka
Sasa ulifikiri nani atanunua?Nchi hii ilivo na masinema sitashangaa nikisikia hizo tiketi zote zimenunuliwa na maccm ili kuonesha kuwa zinauzika
Kwa hiyo kama si mauzo ya tiketi hayo madude huwa yanatumika kufanya biashara gani nyingine? Kupigia picha ama?Hamuwezi kuendesha hili shirika kwa faida kwa kutegemea mauzo ya ticket tu hasa tukianza route za kimataifa.
Gharama za kuhudumia ndege,mafuta, mishahara ya wafanyakazi, chakula kwa abiria, hoteli kwa abiria panapotokea matatizo, charge za kupaki/kutua katika viwanja vya ndege,kulipa mainjinia wa kuihudumia, n.k kamwe haviwezi kubebwa na mauzo ya ticket tu.
Wanaofanikiwa katika hii biashara hawategemei mauzo ya ticket tu vinginevyo mashirika mengi yasingekuwa yanatangaza hasara.
Pia, eleweni tu Bombardier zilizokuwa zinatumia hiyo route sasa zinakosa abiria na ni hasara kuzipaki kwa huo mwezi mzima.
Tatizo lipo wapi mkuu? Basi tuombe lifeli ili tumkomoe Magu auNchi hii ilivo na masinema sitashangaa nikisikia hizo tiketi zote zimenunuliwa na maccm ili kuonesha kuwa zinauzika
Hiyo miaka 20 hizi ndege mpya zilikuwepo? Usiwe mtumwa wa historia aliyekubuhu kukariri historia the study of past human events .watu tunashughulika Na NOW Na Future Baki Na lihistoria lakoLeta ushahidi kama linaingiza faida
Mana vitabu vinaonesha ni hasara kwa miaka20