Dremliner imekuja muda muafaka itabeba maparachichi,miwa,maziwa,ndizi sawa watanzania

Dremliner imekuja muda muafaka itabeba maparachichi,miwa,maziwa,ndizi sawa watanzania

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827
Hakika tukuyu imebarikiwa ardhi hii ya kijani

Unakutana na ndizi imenona hiyo,
miwa mitamu hiyo daa,hivi watu wa huku hawataumwa figo aise
mahindi matamu hayo siyo ya DSM yaliyovunda kule buguruni

Lakini mbona hakuna kiwanda cha kusindika maziwa
huku ng'ombe anashiba majani mabichi siyo yaliyokauka

Tumeona kiwanda cha maparachichi
yanayoandaliwa kupelekwa ulaya ,

DREMLINER IMEKUJA MUDA MUAFAKA

NDAGA FIJO NALOLI ,

Hawa watu mbona wamejaliwa hivi.
 
Maparachichi muyapeleke wapi?kuuza wenzenu kenya washatafutiwa soko nje na washa saini mkataba

Ova
 
Iyo ni ndege ya kubeba abiria,kama nyie mnamiwa moshi,moro,kagera wasemeje?hakuna hata kiwanda cha kuchakata hiyo miwa. ..
Umesema maziwa?mnakiwanda gani cha kusindika maziwa uko
 
Uhuru alienda kuomba mkopo wa kujenga reli kutoka mombsa mpaka uganda dili likabumaa kaona kutudi kimya kimya ni aibu kaamua tu kuibui ilo sakata la maparachichi wakati ni la kitambo [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] na maparachichi wameyatoa wapi yaa kuuza china wanategemea kuja kurangua Tz ndo wayapereke china [emoji23][emoji23][emoji23][emoji2]
Maparachichi muyapeleke wapi?kuuza wenzenu kenya washatafutiwa soko nje na washa saini mkataba

Ova
 
Walichokifanya ATCL leo Kwa ndege ya Mtwara ni uhuni tupu....

MTU yupo anasubiri ku-board DAR, eti hawasemi chochote WATU WAPO TU... walikuwa Mtwara wakafaulishiwa Presicionair. Watu wameharibiwa ratiba ile mbaya!!!
 
Back
Top Bottom