Ukiweka hapa utapata wateja wengi kuliko kujificha.Inategemea unalima zao gani maana kuna single row/double row, zaidi karibu PM nikupe gharama
Mawasiliano yako, upo mkoa ganiKujua gharama ya mfumo wa umwagiliaji ni lazima uwe na taarifa zifuatazo
1.Ujue unalima zao gan?
2.Spacing ya Row/Row na Plant/plant
3.Chanzo cha maji/tenki
Hapo unapata picha uweke mfumo wa aina gani ambao una gharama nafuu
Zaidi gharama ni 1,500,000-2,000,000/= hiyo inajumuisha gharama ya vifaa na ufundi ukitoa gharama za tenki au pampu.
Ni mkoa wa Pwani-Mlandizi, mawasiliano nimekutumia PMMawasiliano yako, upo mkoa gani
Kwanin pm na sio uweke hapaNi mkoa wa Pwani-Mlandizi, mawasiliano nimekutumia PM
Kwa zanzibar ni kama milioni 3 kwa eka (minus gharama za kisima na tanki la maji).Zaidi gharama ni 1,500,000-2,000,000/= hiyo inajumuisha gharama ya vifaa na ufundi ukitoa gharama za tenki au pampu.
Uzuri wa drip irrigation inakupa faida maradufu ikiwa ni pamoja uhakika wa kuvuna, japokuwa mwanzoni gharama kubwa kiasi.Kwa zanzibar ni kama milioni 3 kwa eka (minus gharama za kisima na tanki la maji).
Kwa kilimo Cha nyanya gharama ziko je?Kujua gharama ya mfumo wa umwagiliaji ni lazima uwe na taarifa zifuatazo
1.Ujue unalima zao gan?
2.Spacing ya Row/Row na Plant/plant
3.Chanzo cha maji/tenki
Hapo unapata picha uweke mfumo wa aina gani ambao una gharama nafuu
Zaidi gharama ni 1,500,000-2,000,000/= hiyo inajumuisha gharama ya vifaa na ufundi ukitoa gharama za tenki au pampu.
Hizo ni gharama za mazao ya mbogamboga kama nyanya,hoho n.k ila hazihusiani na gharama kisima/pampu/tenki.Kwa kilimo Cha nyanya gharama ziko je?
Hapana bossJe mnahusika na kuchimba kisima?
Vipi kuhusu zao la mahindiKujua gharama ya mfumo wa umwagiliaji ni lazima uwe na taarifa zifuatazo
1.Ujue unalima zao gan?
2.Spacing ya Row/Row na Plant/plant
3.Chanzo cha maji/tenki
Hapo unapata picha uweke mfumo wa aina gani ambao una gharama nafuu
Zaidi gharama ni 1,500,000-2,000,000/= hiyo inajumuisha gharama ya vifaa na ufundi ukitoa gharama za tenki au pampu.
PrivacyKwanin pm na sio uweke hapa
Ukivuna, ukitaka kulima tena, unaanza upya?Hizo ni gharama za mazao ya mbogamboga kama nyanya,hoho n.k ila hazihusiani na gharama kisima/pampu/tenki.
Mahindi pia inafaa lakini ubora zaidi ni vema utumie mfumo wa maboda/terras kwa umwagiliajiVipi kuhusu zao la mahindi