Hizo ndio hunogesha ile feeling ya driving. Kuendesha kwenye straight stretch kwa muda mrefu inachosha. Inabidi kuwe na miinuko kidogo, konakona ndio safari hunoga kweliIla kona za Iyovi tamu sana..
Wewe unataja basi la Sauli.
Jamaa wana leseni ya kukatiza maeneo hayo speed kali na hawafanywi lolote
Dah pole sana mkuu ilikuwa mbaya kweli yani. Gari haina ufundi kama una overspeed. Mie humo nakatizaga na 80-100 usiku ila gari ya chini.Mkuu bado sehemu hizo ni hatari kwa spidi kali.
Nilimwazima shemeji yangu gari akielekea msiba wa baba yake huku Tukuyu.
Hakufika salama.
Gari aliipiga chini hapo Iyovi, aliingia gema- karibu na sehemu sasa inapanuliwa.
Nikapata kibarua cha kuifuata gari, maana yeye ilibidi apate usafiri mwingine kwenda msibani.
Hadi leo, napaheshimu.
Huo ndio usalama mkuu!Dah pole sana mkuu ilikuwa mbaya kweli yani. Gari haina ufundi kama una overspeed. Mie humo nakatizaga na 80-100 usiku ila gari ya chini.
Sehemu hii inahitaji concentration 100%Hizo ndio hunogesha ile feeling ya driving. Kuendesha kwenye straight stretch kwa muda mrefu inachosha. Inabidi kuwe na miinuko kidogo, konakona ndio safari hunoga kweli
Inawezekana boss ni uwezo tu wa gari na umahiri wa dereva ,mkuu kuna watu hawawezi tembea chini ya 100 hata kwa dk 3.Mkuu Iyovi at 150+ na kona kona zile?
Its almost impossible.
Ndio maana nikatoa tahadhari.
Stretch ya kukamua(hasa usiku), ni Moro- Doma, Ruaha-Comfort, Msitu wa Sao Hill, Makambako-Igawa.
Hapo hali ikiruhusu hata 200-220+ unakamua.