Driving enthusiasts, Iyovi endesha ukiwa umetulia!

Dah pole sana mkuu ilikuwa mbaya kweli yani. Gari haina ufundi kama una overspeed. Mie humo nakatizaga na 80-100 usiku ila gari ya chini.
 
Mkuu Iyovi at 150+ na kona kona zile?
Its almost impossible.
Ndio maana nikatoa tahadhari.
Stretch ya kukamua(hasa usiku), ni Moro- Doma, Ruaha-Comfort, Msitu wa Sao Hill, Makambako-Igawa.
Hapo hali ikiruhusu hata 200-220+ unakamua.
Inawezekana boss ni uwezo tu wa gari na umahiri wa dereva ,mkuu kuna watu hawawezi tembea chini ya 100 hata kwa dk 3.
 
Kipindi kile vi coaster vya hakuna kulala kulikuwa na vizuizi moro na Igumbiro ukichelewa unalala hadi alfajiri,sasa ukutane na dereva mwehu aliyechelewa na anataka kufidia muda,hapo iyovi abiria story zote huisha na wengi hujiapiza kutopanda tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…