Driving school ipi nzuri Dar?

Hawa MLIMANI DRIVING SCHOOL sio kabisa walimu wao wengi wababaishaji sana, unalipa ofisini ada njian unaombwa tena hela. Na usipowapa ujue wanakutolea lugha chafu Na ufundishaji mbovu kabisa. Wana magari lakin walimu hawafai.
Asante kwa kunijuza
 
Wadau,

Nataka niingie shule ya udereva kwa sasa naomba mnijuze ni 'driving school' ipi ni nzuri na inatoa huduma ya uhakika nipo maeneo ya tegeta na ningefurahi kama isingekuwa mbali sana na huku.

Karibuni!
Mkuu lete mrejesho, ulifanikisha ? Shule/chuo kipi ada ilikuwa ngapi na kwa muda gani ulijua udereva.
 
Wadau,

Nataka niingie shule ya udereva kwa sasa naomba mnijuze ni 'driving school' ipi ni nzuri na inatoa huduma ya uhakika nipo maeneo ya tegeta na ningefurahi kama isingekuwa mbali sana na huku.

Karibuni!

Mkuu habari. Vipi ulipata driving school ya wapi. Ada yao na muda uliotumia. Nipo maeneo ya Ubungo natafuta driving school ndugu. Nisaidie ushauri
 
Hawa MLIMANI DRIVING SCHOOL sio kabisa walimu wao wengi wababaishaji sana, unalipa ofisini ada njian unaombwa tena hela. Na usipowapa ujue wanakutolea lugha chafu Na ufundishaji mbovu kabisa. Wana magari lakin walimu hawafai.

Dash. Sasa mkuu unanishauri niende school gani naishi mitaa ya ubungo. Halafu mie ni muajiriwa, natoka kazini SAA kumi jioni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…