Kalemataka
Member
- Aug 19, 2017
- 48
- 10
Asante kwa kunijuzaHawa MLIMANI DRIVING SCHOOL sio kabisa walimu wao wengi wababaishaji sana, unalipa ofisini ada njian unaombwa tena hela. Na usipowapa ujue wanakutolea lugha chafu Na ufundishaji mbovu kabisa. Wana magari lakin walimu hawafai.