Drogba Vs Rooney: Katika Ubora Wao Ulimkubali Yupi?

Drogba Vs Rooney: Katika Ubora Wao Ulimkubali Yupi?

Wazza hata ukimuweka golini anacheza ila drogba zaidi ya uviziaji hakuna kingine.

Nakumbuka goli za rooney dhidi ya man city na lile dhidi ya aston villa katikati ya uwanja.
Rooney ni zaidi ya mchezaji.
 
Rooney ni habari nyingine mfumo mzima wa timu ulikuwa unamtegemea yeye ndio maana asipokuwepo karibia mfumo mzima wa timu unakuwa chini ya kiwango yaani kianzia katikati mpk kwenye ushambuliaji , kumbukumbu nzuri Uefa 2010 Bayern walimjeruhi kwa makusudi ili akose mechi ya marudiano akudungwa sindano ili awepo tu uwanjani kingine mjamaa hata kukaba anakaba sometimes anarudi kudifense na tackle anapiga fresh tu.
Naikumbuka hyo mechi. Ferguson aliwashangaza waliowengi kwa kumpanga Rooney aliyekuwa majeruhi huku akimwacha Berbatov mzima benchi.
 
Wazza hata ukimuweka golini anacheza ila drogba zaidi ya uviziaji hakuna kingine.

Nakumbuka goli za rooney dhidi ya man city na lile dhidi ya aston villa katikati ya uwanja.
Rooney ni zaidi ya mchezaji.
Hahaa kwahyo mkuu, Drogba hana tofauti na Chicharito?
 
Rooney alikuzwa tu kwa vile ni muingereza, kuwepo kwa Ronaldo Man u kulichangia yeye kuwa mchezaji mzuri,Kwangu mimi Didier Drogba ni zaidi ya Rooney.
You cant be serious mkuu, Rooney na Ronaldo wamecheza pamoja at top level misimu 3 tu.

Ronaldo anaondoka man utd na Rooney anafunga goli 39 na 40 misimu miwili tofauti. Kifupi rooney alikuwa mfungaji zaidi Ronaldo alipoondoka.

Na hata Afunge goli ngapi Rooney Atakupa assist kama 10 hivi kila msimu.
 
Usimfananishe King Drogba na Rooney ..uyo uingereza ulim'beba...

Mpaka anafikia kuitwa King ..sio kazi ya kitoto ..

Live long Lengend Didier Drogba King...

Kila la kheri Chelsea[emoji170][emoji170][emoji170]
Aliitwa King na shabiki wa Chelsea.
 
Back
Top Bottom