Drone - 1.1km Tanzanite Bridge construction progress

Drone - 1.1km Tanzanite Bridge construction progress

Asingeolewa huyo mama Nuru angekua Mfugale!
 
Nini kinamsumbua Mfugale, naona anatembea kwasapot ya fimbo.
 
Ujenzi ni mchakato, unaanza na wazo/changamoto, upembuzi yakinifu,ubunifu,utafutaji pesa,uingiaji mkataba,...
kuna kitu kinaitwa preliminary stages huwa haziwi counted kwenye ujenzi. Ujenzi huanza kuanzia mobilization stage! Jifunze project management kwanza kabla ya ku-expose ujuha!
 
Hivi wameshindwa kabisa kupasua Msimbazi kati hapa kutoka Muhimbili/ Upanga kuja Kinondoni/ Magomeni?

Naona kama hili daraja liko baharini zaidi linazungusha sana traffic.
 
Hivi wameshindwa kabisa kupasua Msimbazi kati hapa kutoka Muhimbili/ Upanga kuja Kinondoni/ Magomeni?

Naona kama hili daraja liko baharini zaidi linazungusha sana traffic.
Kwahiyo wewe ni mjuaji kuliko KOICA waliofanya feasibility study na ku-approve the project?
 
Ujenzi ni mchakato, unaanza na wazo/changamoto, upembuzi yakinifu,ubunifu,utafutaji pesa,uingiaji mkataba,...
Ila haya madaraja si ndio tulikubaliana hatuyataki, tunataka Maendeleo ya watu?
 
Kwahiyo wewe ni mjuaji kuliko KOICA waliofanya feasibility study na ku-approve the project?
Najadili mambo kwa kuhoji tu, kuelimishana kwa mantiki, si kwa kuangalia majina huyu kuhani gani, huyu mtume gani.

Hoja tu.Weka hoja tujadili hapa.

Usilazimishe kitu kwa sababu kasema mtume fulani au kuhani fulani.
 
kuna kitu kinaitwa preliminary stages huwa haziwi counted kwenye ujenzi. Ujenzi huanza kuanzia mobilization stage! Jifunze project management kwanza kabla ya ku-expose ujuha!
Haujawahi kusimamia Ujenzi mkuu alafu unajifanya unajua. Alafu process Ni mchakato na stage Ni hatua. Hakuna ujenzi unaoanzia hewani. Au labda una fani ya uhandisi ambao hukuta mradi kipindi Cha Ujenzi (hatua ya tano)

Kuna hatua sita katika mchakato wa Ujenzi.

1.Wazo-
Huu ndio msingi wa mradi wowote. Kwa kuwa serikali ni mtoa huduma kupitia kodi mara nyingi huwa ni changamoto na mahitaji ya jamii.Hapa inahusisha upangaji bajeti,utafutaji fedha,upembuzi yakinifu,mzabuni wa Ujenzi n.k in case of Salender bridge hili lilianza kipindi Cha Jakaya Kikwete.

2. Ubunifu (Design)

Hili lilianza kipindi Cha Jakaya. Inahusisha michoro na usanifu wa mradi. Hadi kufikia 2015 tayari serikali ilitoa mchoro wa daraja la Salender.

3.Kipindi Cha mpito kuelekea Ujenzi( Preconstruction)​

Hapa unaingia kuelekea kwenye Ujenzi. Zabuni imeshatangazwa na na mzabuni/mjenzi ameshapatikana. Mjenzi analeta kikosi na timu yake eneo la mradi
their ducks in a row. Hili lilifanywa Kipindi Cha John Pombe Magufuli

4. Manunuzi (Procurement)​

Hapa mchakato unahusisha upatikanaji wa nguvu kazi/rasilimali watu (staff), ununuzi wa vifaa na zana za ujenzi. Hili hufanywa na mzabuni aliyepewa kazi ya Ujenzi.
Hili lilifanywa kipindi Cha JPM

5.Ujenzi ( Construction)​

Hapa ndipo ulipojengea hoja. Ujenzi unahama toka kwenye makaratasi unaenda kwenye utendaji. Kuchimba,kufuma nondo,kuweka nguzo,kumwaga zege nk. Mhandisi mkuu na wahandisi wasaidizi (Sub contractors) kila mtu anawajibika kulingana na muda uliopangwa.
Hili lilianza kipindi Cha JPM. Na Sasa analo Mama Samia Suluhu.

6. Baada ya Ujenzi (Post construction)​

Huu Ni mchakato wa mwisho. Ukaguzi lazima ufanywe kupitia check list ya Ujenzi na msanifu majengo na baadae atathibitisha kukamilisha kwa mradi. Serikali itakabidhiwa mradi. Hili Kama Kuna uhai basi Mama Samia Suluhu anaweza kukamilisha.
 
Haujawahi kusimamia Ujenzi mkuu alafu unajifanya unajua. Alafu process Ni mchakato na stage Ni hatua. Hakuna ujenzi unaoanzia hewani. Au labda una fani ya uhandisi ambao hukuta mradi kipindi Cha Ujenzi (hatua ya tano)

Kuna hatua sita katika mchakato wa Ujenzi.

1.Wazo-
Huu ndio msingi wa mradi wowote. Kwa kuwa serikali ni mtoa huduma kupitia kodi mara nyingi huwa ni changamoto na mahitaji ya jamii.Hapa inahusisha upangaji bajeti,utafutaji fedha,upembuzi yakinifu,mzabuni wa Ujenzi n.k in case of Salender bridge hili lilianza kipindi Cha Jakaya Kikwete.

2. Ubunifu (Design)

Hili lilianza kipindi Cha Jakaya. Inahusisha michoro na usanifu wa mradi. Hadi kufikia 2015 tayari serikali ilitoa mchoro wa daraja la Salender.

3.Kipindi Cha mpito kuelekea Ujenzi( Preconstruction)​

Hapa unaingia kuelekea kwenye Ujenzi. Zabuni imeshatangazwa na na mzabuni/mjenzi ameshapatikana. Mjenzi analeta kikosi na timu yake eneo la mradi
their ducks in a row. Hili lilifanywa Kipindi Cha John Pombe Magufuli

4. Manunuzi (Procurement)​

Hapa mchakato unahusisha upatikanaji wa nguvu kazi/rasilimali watu (staff), ununuzi wa vifaa na zana za ujenzi. Hili hufanywa na mzabuni aliyepewa kazi ya Ujenzi.
Hili lilifanywa kipindi Cha JPM

5.Ujenzi ( Construction)​

Hapa ndipo ulipojengea hoja. Ujenzi unahama toka kwenye makaratasi unaenda kwenye utendaji. Kuchimba,kufuma nondo,kuweka nguzo,kumwaga zege nk. Mhandisi mkuu na wahandisi wasaidizi (Sub contractors) kila mtu anawajibika kulingana na muda uliopangwa.
Hili lilianza kipindi Cha JPM. Na Sasa analo Mama Samia Suluhu.

6. Baada ya Ujenzi (Post construction)​

Huu Ni mchakato wa mwisho. Ukaguzi lazima ufanywe kupitia check list ya Ujenzi na msanifu majengo na baadae atathibitisha kukamilisha kwa mradi. Serikali itakabidhiwa mradi. Hili Kama Kuna uhai basi Mama Samia Suluhu anaweza kukamilisha.
Kwa maelezo yake anamaanisha bwawa la umeme la Stiegel's gorge lilianza kujengwa awamu ya tano ya Magufuli miaka ya 2015-2021 Kwa maelezo yako unaamaanisha bwawa hilo lilianza kujengwa awamu ya kwanza ya Mwalimu Nyerere miaka ile ya 1970s kipindi wanafanya upembuzi.
 
Haujawahi kusimamia Ujenzi mkuu alafu unajifanya unajua. Alafu process Ni mchakato na stage Ni hatua. Hakuna ujenzi unaoanzia hewani. Au labda una fani ya uhandisi ambao hukuta mradi kipindi Cha Ujenzi (hatua ya tano)

Kuna hatua sita katika mchakato wa Ujenzi.

1.Wazo-
Huu ndio msingi wa mradi wowote. Kwa kuwa serikali ni mtoa huduma kupitia kodi mara nyingi huwa ni changamoto na mahitaji ya jamii.Hapa inahusisha upangaji bajeti,utafutaji fedha,upembuzi yakinifu,mzabuni wa Ujenzi n.k in case of Salender bridge hili lilianza kipindi Cha Jakaya Kikwete.

2. Ubunifu (Design)

Hili lilianza kipindi Cha Jakaya. Inahusisha michoro na usanifu wa mradi. Hadi kufikia 2015 tayari serikali ilitoa mchoro wa daraja la Salender.

3.Kipindi Cha mpito kuelekea Ujenzi( Preconstruction)​

Hapa unaingia kuelekea kwenye Ujenzi. Zabuni imeshatangazwa na na mzabuni/mjenzi ameshapatikana. Mjenzi analeta kikosi na timu yake eneo la mradi
their ducks in a row. Hili lilifanywa Kipindi Cha John Pombe Magufuli

4. Manunuzi (Procurement)​

Hapa mchakato unahusisha upatikanaji wa nguvu kazi/rasilimali watu (staff), ununuzi wa vifaa na zana za ujenzi. Hili hufanywa na mzabuni aliyepewa kazi ya Ujenzi.
Hili lilifanywa kipindi Cha JPM

5.Ujenzi ( Construction)​

Hapa ndipo ulipojengea hoja. Ujenzi unahama toka kwenye makaratasi unaenda kwenye utendaji. Kuchimba,kufuma nondo,kuweka nguzo,kumwaga zege nk. Mhandisi mkuu na wahandisi wasaidizi (Sub contractors) kila mtu anawajibika kulingana na muda uliopangwa.
Hili lilianza kipindi Cha JPM. Na Sasa analo Mama Samia Suluhu.

6. Baada ya Ujenzi (Post construction)​

Huu Ni mchakato wa mwisho. Ukaguzi lazima ufanywe kupitia check list ya Ujenzi na msanifu majengo na baadae atathibitisha kukamilisha kwa mradi. Serikali itakabidhiwa mradi. Hili Kama Kuna uhai basi Mama Samia Suluhu anaweza kukamilisha.
physical construction inahesabika kuanzia stage 4! Fala wewe umeandika Preconstruction ila hujui maana yake!
 
physical construction inahesabika kuanzia stage 4! Fala wewe umeandika Preconstruction ila hujui maana yake!
Bro...unatukana Sana, shida i-wapi? Nimesomea management,sijasomea uhandisi ( pengine wao ndipo wanaanzia)
So wewe msukuma...kalaga bhao na ubozi wako. Usinilazimishe kuelewa unachoelewa.
 
Back
Top Bottom