Droo mpya ya 16 bora ya UEFA

Droo mpya ya 16 bora ya UEFA

Cjajua ni sababu gani imetokea hadi kubadil na iliwezekanaje..au napo kuna mchongo?
draw ya awali walichemka ,PSG vs Man U walikosea ,maana waliongoza kwenye makundi kwahiyo haiwezekani timu ziliongoza kwenye makundi zikutanishwe
 
draw ya awali walichemka ,PSG vs Man U walikosea ,maana waliongoza kwenye makundi kwahiyo haiwezekani timu ziliongoza kwenye makundi zikutanishwe
Psg alikuwa wa2 na man u alikuwa wa 1
 
draw ya awali walichemka ,PSG vs Man U walikosea ,maana waliongoza kwenye makundi kwahiyo haiwezekani timu ziliongoza kwenye makundi zikutanishwe
Psg aliongoza group lipi ???


Mpira unaangalia kweli wewe
 
DROO YA #UCL: CHELSEA vs LILLE, MAN. UTD vs ATLETICO

Baada ya droo ya hatua ya 16 Bora kurudiwa, Chelsea itakutana na Lille huku Man. Utd ikikutana na Atletico Madrid

PSG ambayo awali ilikuwa dhidi ya Man. Utd itakutana na R. Madrid, Juventus vs Villarreal, Man. City vs Sporting CP na Liverpool vs Inter Milan

#JFSports
View attachment 2042912
Mkuu tunaomba na ya awali tuone
 
Mkuu tunaomba na ya awali tuone
Screenshot_2021-12-13-14-55-41-672_com.android.chrome.jpg
 
draw ya awali walichemka ,PSG vs Man U walikosea ,maana waliongoza kwenye makundi kwahiyo haiwezekani timu ziliongoza kwenye makundi zikutanishwe
Aaah!bac ilikuwa mchongo ili wawakutanishe miamba miwili tena ili kurudisha ule msisimko wa zaman wa UEFA
 
JamiiForums1225168182.jpg


wanadai kuna makosa yalifanyika kwenye draw ya kwanza.
 
Back
Top Bottom