draw ya awali walichemka ,PSG vs Man U walikosea ,maana waliongoza kwenye makundi kwahiyo haiwezekani timu ziliongoza kwenye makundi zikutanishweCjajua ni sababu gani imetokea hadi kubadil na iliwezekanaje..au napo kuna mchongo?
Psg alikuwa wa2 na man u alikuwa wa 1draw ya awali walichemka ,PSG vs Man U walikosea ,maana waliongoza kwenye makundi kwahiyo haiwezekani timu ziliongoza kwenye makundi zikutanishwe
Ni kweli Man u alikuwa wa kwanza na psg alikuwa wa pili nyuma ya man cityPsg alikuwa wa2 na man u alikuwa wa 1
Psg gani labda unaizungumzia?Kazi nzito,
psg na Bayern kwa ulaya ya sasa.
Ni timu tishio sana
Psg aliongoza group lipi ???draw ya awali walichemka ,PSG vs Man U walikosea ,maana waliongoza kwenye makundi kwahiyo haiwezekani timu ziliongoza kwenye makundi zikutanishwe
Mwezi wa kwanzaDraw ya makundi caf cl na caf cc itafanyika lini?
Mkuu tunaomba na ya awali tuoneDROO YA #UCL: CHELSEA vs LILLE, MAN. UTD vs ATLETICO
Baada ya droo ya hatua ya 16 Bora kurudiwa, Chelsea itakutana na Lille huku Man. Utd ikikutana na Atletico Madrid
PSG ambayo awali ilikuwa dhidi ya Man. Utd itakutana na R. Madrid, Juventus vs Villarreal, Man. City vs Sporting CP na Liverpool vs Inter Milan
#JFSports
View attachment 2042912
Aaah!bac ilikuwa mchongo ili wawakutanishe miamba miwili tena ili kurudisha ule msisimko wa zaman wa UEFAdraw ya awali walichemka ,PSG vs Man U walikosea ,maana waliongoza kwenye makundi kwahiyo haiwezekani timu ziliongoza kwenye makundi zikutanishwe
Aisee nilimsahau liver [emoji4]Psg gani labda unaizungumzia?
Tishio ni Bayern na Liverpool. Hawa wawili mmoja ananyanyua kwapa. Pira lao la pressing hakuna anafikia kwa sasa. Si mchezo.
Kwanini waliiondoa? [emoji848] Waketa hii nyingine?
Ufafanuzi tafadhali,Ndio
Sababu za kitaalamu.Cjajua ni sababu gani imetokea hadi kubadil na iliwezekanaje..au napo kuna mchongo?
Nilishasema Fainali ni Liver vs Ajax wengine mnasindikiza.Psg gani labda unaizungumzia?
Tishio ni Bayern na Liverpool. Hawa wawili mmoja ananyanyua kwapa. Pira lao la pressing hakuna anafikia kwa sasa. Si mchezo.
Wangekuwepo Yanga na GSM ndiyo tungeweza kusema ni mchongo.Cjajua ni sababu gani imetokea hadi kubadil na iliwezekanaje..au napo kuna mchongo?
bado sana hao Cityweka na man city.