Freesociety
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 984
- 926
Toa sababu. Unafikiri kuna 5 tena Etihad?Historia ipo ili ivunjwe,hatuishi kwa wakati uliopita tunaishi katika wakati uliopo.
Liverpool naapa hawezi mtoa man city.
Kwa timu ipi hapo ambayo ingezisumbua Man City na Liver? Sema uefa wameamua timu za Uingereza zisikutane fainali.Hapa uingereza wamewasaidia lasivyo mwaka huu wasingeingiza timu nusu fainali
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tuna rekodi mbaya nao, wanatupigaga za basketball.
Punguza dharau brother, Man City kweli yuko vizuri. Usitegemee 5 tena Etihad.Malizia basi mliwapiga 4-3.
Nakuambia tena Liverpool hana ubavu wa kumtoa city robo fainal.
Kama ni Mtoto, Liverpool ya Sasa bado ni mtoto aliye na masalia ya maziwa-maziwa ya mama.
Kweli kabisa, ndo Uingereza wameamua kujitoa EU.SIO kupangiwa km ujanza juzi kuangalia UEFA utakuwa unajua toka misimu ya zamani timu za England zilikuwa zinatoboa hadi 16 bora au robo zikiwa 3 au 4 uefa lazima wawapange zenywe kwa zenyewe kuzipunguza
Hizo ni mbwembwe za soccer tu,kama vile watu hudai kuna wamatopeni na wakimaTaifa.Punguza dharau brother, Man City kweli yuko vizuri. Usitegemee 5 tena Etihad.
HIV mkuu kwa hakir yako timam unaza uefa ni kombe la ligi..? I mean EPL.?Kwa timu ipi hapo ambayo ingezisumbua Man City na Liver? Sema uefa wameamua timu za Uingereza zisikutane fainali.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] utakuwa ni mtu usiyejulikana.Jamani chama langu Chelsea sijaliona hapo au mmelisahau?
Acha uongo ndugu yangu. Barca ni mfupa mgum sanaNa kwa taarifa tu ni kwamba Barca hajawahi kumsumbua Liver.
Nimecheka sana japo ni ukweli. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ile tekniki ya vipira vya moto na baridi imeumbuliwa..sidhani kama watakua wameacha..lazma kuna janja ingine tu..epl ina timu mbili na zimekutana,la liga 3 hazijakutana..baada ya kuona madrid ni kimeo wameamua wamkutanishe na kimeo mwenzie wapige hela mapema..ngoja warumi wamlawiti mtu ndo jasho litawatoka
Tena hapa naona mechi ngumu na ya kutazamwa zaidi na sana ni Liver na MCI, nyingine zote ni vimeo.Dah EPL wamebahatika. wamezawadiwa nafasi ya nusu fainali na UEFA.
Walikua watuekee tu Barca vs Man city na Buyern vs Liverpool.
Na final, trust me MCI akikubali kupigwa Anfield, na Etihad atapigwa.Liverpool kashaingia semi finals hapo...
Toa na wewe analysis, mwenzako kajaribu.wewe jamaa bangi sio Chakula ujue """ Daaahhh
Kweli, na Liver wa kumpunguza speed na kumsumbua ni Man City tu, akivuka hapo, hao wengine chakula chao.Hakuna wa kumfunga man city pale..na liver angebabaishwa labda na bayern tu..hao mbuzi wengine wote liver akiyakamia maji hawatoki
Akafungwa na Barca, akamtoa nusu fainali Barca akafungwa na R. Madrid[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Real Madrid safari yenu imeishia kwa Juventus kwenye hatua hii ya mtoano kihistoria Madrid kaondolewa Mara kibao Mara ya mwisho Madrid aliondolewa nusu fainali na Juve ikiwa na wakina Morata,Pogba,Tevez n.k na fainali juve akacheza na Barcelona
Na wewe kwa akili yako timamu umeangalia performance ya hizo timu?HIV mkuu kwa hakir yako timam unaza uefa ni kombe la ligi..? I mean EPL.?
Kwa timu zenu.Acha uongo ndugu yangu. Barca ni mfupa mgum sana
nitatoa waitToa na wewe analysis, mwenzako kajaribu.
Mwambie huyo mbona sisi hatulii lii game ya kwanza key player mane kapewe red card mapema sana ndio tukafungwaMpaka Hapa Umethibitisha Udhaifu Wako Wa Uelewa na Masuala Ya Soccer!
Eti "Filimbi Ya Refa iliwaponya"
Pacha Wa Kauli Hizi ni:-
1) Kapa sio Kipa ilikuwa ni Goli lile...
2) Salama Yake Beki kaucheza, Lakini lilikuwa Goli lile...
3) Pale ingelikuwa pana dakika 2 tu basi wangelirudisha Goli...
Sasa hizo sio Kauli za Kimpira wala hazina Nafasi yoyote Katika Mpira.
Mbona Hamsemi kuwa "Zingepunguzwa Dakika 10 tu pale" Lakini Munakazania Kuwa Zingeongezwa dakika tu..
Kwahiyo Basi Refa angepunguza Dakika 10 tu basi Matokeo Yangesomeka 4 - 1.