BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Find a Psychiatrist To Cure Your Mental Disorder Before Too Late!
Ni Vigumu Sana Kubishana Na #King_Ngwaba Katika Mambo Ya Soccer Kwani Sio Level Yako Kabisa.
Haya Man City Tumesha Mgegeda 3 kwa Mtungi Ongea Tena Hiyo Mipasho Yako.
"Wafurahishe walio Karibu walio mbali watasogea"Mbona Wewe Ninakufahamu Kuwa Ni Mcheza Singeli Mkubwa Sana! Sasa Wewe Na Mpira Ni Wapi na Wapi?
Wacha Kuvamia Fani Za Watu Mpira Ni Sisi Tunaoufahamu Na si Wewe! Ni Bora Ungelikaa Kimya Usiumbuke Kwani Kimya Ni Jumla Ya Busara.
Haya Man City Ameshalala lete Hayo Maneno Yako Ya Kanga.
"Wafurahishe walio Karibu walio mbali watasogea"
Barca is unbeaten kwa sasa
Dah Mkuu sio misifa tena iyo 😀😀😀 tunamtaka huyo liver wako tumzibue na pump glisi
Barca kabakwaBarca is unbeaten kwa sasa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Barca inashinda Treble msimu huu, hakuna wa kumzuia!
Malizia basi mliwapiga 4-3.
Nakuambia tena Liverpool hana ubavu wa kumtoa city robo fainal.
Kama ni Mtoto, Liverpool ya Sasa bado ni mtoto aliye na masalia ya maziwa-maziwa ya mama.
Real Madrid barcelonA bayernmunich man City tukutane nusu fainali
Udasebaje?[emoji14]Hata hii UEFA inabidi wachunguzwe mipira ya moto yaani hawa kina Barca siku zote kupewa mteremko tu.
Hongera mtoto wa sheikh yahya[emoji16]Semi-final yangu..
Barcelona vs As Roma= Barcelona.
Juventus vs Real Madrid=Real Madrid.
Liverpool vs Man city=Man city.
Bayern Munich vs sevilla=Bayern Munich.
Sawa hongera, ila kiboko yenu Man U, mpige wote ila mkija kwenu mnachezea za mbavu kama kawa. RASHFOOOOOOOOOORD....!!!![emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Liverpool tutawashangaza sana watu. City kama ni ngumi tutaenda mpaka round ya 12 mimi naamini kabisa. History iko upande wetu hata katika league. Hakuna kuogopa mtu atakayekuja tunaenda naye tu hakuna kuogopa kitu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Barca inashinda Treble msimu huu, hakuna wa kumzuia!
jana kidogo utabiri wangu utimiemadrid akichomoa hapa kwangu atakuwa bingwa hata asiponyanyua ndoo