Droo ya UEFA Champions Ligi; R.Madrid Vs Juventus, Liverpool apewa Man. City! UEFA Europa Ligi; Arsenal Vs CSKA Moskva..

Kam kawaida muda si muda draw itapangwa tu

Barcelona iwe isiwe anapangwa na Liverpool ili apite akutane nusu fainali na timu atakayoitoa ili acheze fainali na man city

Plz uzii huu usifutwe na usiunganishwe

Muone utabiri wangu
Umeungwa haha
 
Hapo kwa man city vs barca nakuunga mkono[emoji106]
 
Mkuu mimi Liver na sio kama naogopa kitu ningependa yoyote sawa tu lakini City si kama ndugu namuonea huruma kumpiga mdogo wangu lakini sina la kufanya inabidi nifundishe dogo heshima kidogo. Tuheshimiane
Haha mkuu tuliza ball.. mpira unachezwa uwanjani dk 90 na sio jf jukwaa la spotsi haha
 
!
!
Latin kama unaweza kuxichungulia Droo muhindi tungemnyoosha sana maamae. Yaani khaaa Droo moja tu mikeka yote chali maamae. Nabeti mechi mbili mbili tu maamae
 
Kam kawaida muda si muda draw itapangwa tu

Barcelona iwe isiwe anapangwa na Liverpool ili apite akutane nusu fainali na timu atakayoitoa ili acheze fainali na man city

Plz uzii huu usifutwe na usiunganishwe

Muone utabiri wangu
We jamaa kila utabiri wako hautimii.
 
Nawaona madrid na bayern fainali km wasipokutana nusu fainali.

Europa arsenal vs atletico km pia hawatokutana nusu.
 
Mkuu acha uwongo roma na sevilla wana mpira gani wa kuwatoa man city na liverpool....
Ukweli wako wewe ni upi? Ulitaka liver apangwe na Sevila na Roma na man city mbona ujawasema juve, barce. Madrid na Buyern. Afu kumbka 2015 liver alipigwa na sevila europa final na huyo Roma waulize kilichowakuta wazee wa darajani kwenye makundi. Ko wewe unavyowa underdog sevila na Roma sio kua ni ukweli.
 
Hamna bwana team za Spain zinabebwa haswa Barcelona
inaezekana kweli but mkuu hauexplain how maana draw imefanyika live kila mtyu ameshuhudia........usije ukawa fan wa chelsea maana hao ndo hulalamika sana kuwa wanaonewa wakiktana na barca....mfano juzi wanadai wahabikiwa barcelona walikua wanashangilia sana hio imewaathiri sana hvyo kuppoteza kwa magoli matatu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…