Droo ya UEFA Champions Ligi; R.Madrid Vs Juventus, Liverpool apewa Man. City! UEFA Europa Ligi; Arsenal Vs CSKA Moskva..

Droo ya UEFA Champions Ligi; R.Madrid Vs Juventus, Liverpool apewa Man. City! UEFA Europa Ligi; Arsenal Vs CSKA Moskva..

Mpaka Hapa Umethibitisha Udhaifu Wako Wa Uelewa na Masuala Ya Soccer!

Eti "Filimbi Ya Refa iliwaponya"

Pacha Wa Kauli Hizi ni:-

1) Kapa sio Kipa ilikuwa ni Goli lile...

2) Salama Yake Beki kaucheza, Lakini lilikuwa Goli lile...

3) Pale ingelikuwa pana dakika 2 tu basi wangelirudisha Goli...


Sasa hizo sio Kauli za Kimpira wala hazina Nafasi yoyote Katika Mpira.

Mbona Hamsemi kuwa "Zingepunguzwa Dakika 10 tu pale" Lakini Munakazania Kuwa Zingeongezwa dakika tu..


Kwahiyo Basi Refa angepunguza Dakika 10 tu basi Matokeo Yangesomeka 4 - 1.
Mkuu, jaribu kuwa mwanamichezo wa kutambua kuwa kuna watu wana mtazamo tofauti na wako. Hiyo mechi niliangalia na hayo ni mawazo yangu, kama huyataki ni haki yako kubaki na mawazo yako.
 
Kwa timu zenu.
Yaan barca kapga wote..liver,city,Chelsie,man u,arsenal, kwa hyo kwake hakuna kigen. Hyo Liverpool ni mbovu zaid bora hata man u. Liverpool kuanzia golin bek mpaka mid field ni wabovu balaa..yaaan hamna wachezaj pale. Huku mbele kuna wana riadha control chumba na sebule ( salah na mane) . kidogo firminho.

Usiombe kukutana na mzik Wa messi or cr 7. kidogo man city nao wanajitahd japo bek yao iko uchi sana.
 
Awe Liverpool or man city pia hawana uwezo Wa kucheza na Bayern Munich. Huyu Liverpool unae msifia ni kama Mtoto aliekua amepotea kwa hyo anaanza kupata Tiba..kwa ujumla Liverpool hata angepewa sevilla angetolewa
 
Game ngumu sana hiyo ila VIJOGOOO TUTABOA TU,KWA SABABU MAN CITY HANA CHECHE KWENYE USIKU WA ULAYA.
 
Mimi ni timu madrid lakini kikwazo kwangu naona ni barcelona yaani messi kaharibika vibaya mno, naomba man city amtwangwe liverpool halafu nusu fainal wapangwe na baca labda anaweza mtoa, kisha madrid tuchukue ndoo maana haowote watakao baki ronaldo hawezi waacha salama[emoji16][emoji16][emoji16][emoji4][emoji4][emoji4]
 
Mimi ni timu madrid lakini kikwazo kwangu naona ni barcelona yaani messi kaharibika vibaya mno, naomba man city amtwangwe liverpool halafu nusu fainal wapangwe na baca labda anaweza mtoa, kisha madrid tuchukue ndoo maana haowote watakao baki ronaldo hawezi waacha salama[emoji16][emoji16][emoji16][emoji4][emoji4][emoji4]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]


Barca inashinda Treble msimu huu, hakuna wa kumzuia!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]


Barca inashinda Treble msimu huu, hakuna wa kumzuia!
Yaani baca ananikosesha usingizi naona anataka kutubania riziki nahuku anajua ligi kasha chukua atuachie madrid uefa, maana najua hao wengine ni wasindikizaji[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Awe Liverpool or man city pia hawana uwezo Wa kucheza na Bayern Munich. Huyu Liverpool unae msifia ni kama Mtoto aliekua amepotea kwa hyo anaanza kupata Tiba..kwa ujumla Liverpool hata angepewa sevilla angetolewa
Liverpool nao si wa kuwachukulia poa, nakumbuka mwaka 2005 Liverpool walisababisha wateja wote baa waondoke wakati wa half time baada ya kubugizwa mabao matatu bila na AC Millan huku mtangazaji akitia msumari wa moto kwa kusema haijawahi timu kuwa nyuma kwa mabao 3 halafu ikachukua kombe. Kipindi cha pili tuliangalia watu 2 tu, huku watu wote wakiwa wameondoka. Namkumbuka mzee Manyama alikuwa shabiki mkubwa wa Liver siku hiyo alitoa ofa za bia akiamini Liver watachukua kombe, ila alipotea katika mazingira ya kutatanisha, haijajulikana mpaka leo aliondoka saa ngapi pale baa na alipitia mlango gani. Kipindi cha pili Steven Gerrad aliongoza kiama cha Millan na Liver kuchukua kombe wakishangiliwa na watu wawili katika baa tuliyokuwamo.
 
Liverpool nao si wa kuwachukulia poa, nakumbuka mwaka 2005 Liverpool walisababisha wateja wote baa waondoke wakati wa half time baada ya kubugizwa mabao matatu bila na AC Millan huku mtangazaji akitia msumari wa moto kwa kusema haijawahi timu kuwa nyuma kwa mabao 3 halafu ikachukua kombe. Kipindi cha pili tuliangalia watu 2 tu, huku watu wote wakiwa wameondoka. Namkumbuka mzee Manyama alikuwa shabiki mkubwa wa Liver siku hiyo alitoa ofa za bia akiamini Liver watachukua kombe, ila alipotea katika mazingira ya kutatanisha, haijajulikana mpaka leo aliondoka saa ngapi pale baa na alipitia mlango gani. Kipindi cha pili Steven Gerrad aliongoza kiama cha Millan na Liver kuchukua kombe wakishangiliwa na watu wawili katika baa tuliyokuwamo.
Liverpool ya enzi hizo sio hii ya sasa..... Liverpool ya kina igor biscan,xabi alonso, steve finnan na sammy Hyppia huwezi linganisha na hii ya watoto kina robertson na alexander-arnold mtasubiri sana
 
Liverpool nao si wa kuwachukulia poa, nakumbuka mwaka 2005 Liverpool walisababisha wateja wote baa waondoke wakati wa half time baada ya kubugizwa mabao matatu bila na AC Millan huku mtangazaji akitia msumari wa moto kwa kusema haijawahi timu kuwa nyuma kwa mabao 3 halafu ikachukua kombe. Kipindi cha pili tuliangalia watu 2 tu, huku watu wote wakiwa wameondoka. Namkumbuka mzee Manyama alikuwa shabiki mkubwa wa Liver siku hiyo alitoa ofa za bia akiamini Liver watachukua kombe, ila alipotea katika mazingira ya kutatanisha, haijajulikana mpaka leo aliondoka saa ngapi pale baa na alipitia mlango gani. Kipindi cha pili Steven Gerrad aliongoza kiama cha Millan na Liver kuchukua kombe wakishangiliwa na watu wawili katika baa tuliyokuwamo.
Hii mech naikumbuka sana..tena Mimi nili iangalia mwanzo Mwisho.. Wale mashabk Wa Liverpool walikula ganja kipind hicho.., wanasema mechi hyo ilikua na vituko vyake.. Lakn ac Milan walikuja kulipa kisas 2007kwa kumfunga liverpool finally..

Kwa sasa Liverpool nawachukulia poa tu kwa sababu hamna wapambanaj na wenye roho jiwe kam rise walivyokua..
 
Liverpool hana uwezo wa kumtoa man city


Find a Psychiatrist To Cure Your Mental Disorder Before Too Late!

Ni Vigumu Sana Kubishana Na #King_Ngwaba Katika Mambo Ya Soccer Kwani Sio Level Yako Kabisa.

Haya Man City Tumesha Mgegeda 3 kwa Mtungi Ongea Tena Hiyo Mipasho Yako.
 
Malizia basi mliwapiga 4-3.

Nakuambia tena Liverpool hana ubavu wa kumtoa city robo fainal.

Kama ni Mtoto, Liverpool ya Sasa bado ni mtoto aliye na masalia ya maziwa-maziwa ya mama.


Mbona Wewe Ninakufahamu Kuwa Ni Mcheza Singeli Mkubwa Sana! Sasa Wewe Na Mpira Ni Wapi na Wapi?
Wacha Kuvamia Fani Za Watu Mpira Ni Sisi Tunaoufahamu Na si Wewe! Ni Bora Ungelikaa Kimya Usiumbuke Kwani Kimya Ni Jumla Ya Busara.

Haya Man City Ameshalala lete Hayo Maneno Yako Ya Kanga.
 
Mbona Wewe Ninakufahamu Kuwa Ni Mcheza Singeli Mkubwa Sana! Sasa Wewe Ni Mpira Ni Wapi na Wapi?
Wacha Kuvamia Fani Za Watu Mpira Ni Sisi Tunaoufahamu Na si Wewe! Ni Bora Ungelikaa Kimya Usiumbuke Kwani Kimya Ni Jumla Ya Busara.

Haya Man City Ameshalala lete Hayo Maneno Yako Ya Kanga.

Liver angefungwa ungesema nini? 😀😀😀
 
Back
Top Bottom