nina mda wamiezi 6 tokea nimeanza kutumia drugs yani (unga) sasa nataka kuacha bt siku nisipo vuta drugs mwili uwa unaniuma sana na hi inachukua mda wa 7 days mbaka kuja kukaa sawa na kurudi katika hali ya kawaida jamani ndugu na marafiki je mnanishauri nitumie kitu gani ili kinipunguzie maumivu ya mwili kwa mda hu...