hah hahaa haha hahaaaaa kweli hayawezi kuendelea aiseeYanaendelea vipi wakat jitu limepiga pesa za kutumia watu zaid ya million 40 limoja
hahaaaAa wabongo nyosoDully Sykes, Wema Sepitu na Le Mutuz wote hawakualikwa. Mapensi nyanya yalikuwa marufuku kabisa.
Ha haaaa. Sio lazima ununue..unaweza ukaiba. Au atumie shuka lake kujinyonga!