DSTV ama yeyote, Naomba Kuelewesha Kuhusu Kuona Mpira kwa 23,000

DSTV ama yeyote, Naomba Kuelewesha Kuhusu Kuona Mpira kwa 23,000

Kwanini ulipie pesa nyingi kwaajili ya kuangalia ligi pendwa duniani??

Misimu ya ligi za soka ndio hio inaanza

Pata channel 4 za soka bure kwaajili ya kuangalia ligi kubwa duniani yaani English Premier League(EPL), Spanish LALIGA, Bundesliga, Serie A, French Ligue 1 pamoja na mashindano makubwa duniani kama UEFA, FA, Capital One, International Championship na Olympic

Pia utaweza kuangalia mashindano mengine ya tennis, golf, mbio za magari, ngumi nk

Huhitaji kulipia kwa mwezi hata thumuni ya pesa yako, gharama itahitajika mwanzoni tu kwaajili ya vifaa na ufundi

Mahitaji;
-Dish kubwa (ft 6 au ft 8)
-Satellite receiver(yenye mfumo wa pv)
-C band LNB
-LNB cable(wire)
-Diseqc switch

[emoji117] Vifaa hivi vyote vinapatikana kwangu pamoja na ufundi

Pia utapata channel zinaonyesha movies,series, mieleka, wanyama, utafiti na sayansi

Mfumo huu una stability 90% reliability 90%, usihofu kukatiwa matangazo au utapeli

Mawasiliano(Call or text)
-0686811173
-0764453848
Unauzaje bei weka bei ili kila mdau akusome..
Na pia hujasema unapatikana wapi??[emoji45] [emoji45]
 
23 500 usilalamike Nunua Azam wewe halafu lipia ile Bando kubwa
1471149819366.jpg
 
Nimeweka bandiko ili kuwasaidia wenzangu na mimi, kulipia 219K kila mwezi sio mchezo.Kama imani iko kwa makaburu basi baki hapo

Sijawahi weka Imani yangu kwa Mtanzania kabla ya kujirizisha. Imani sijaweka kwa kaburu, nimejaribu na ku enjoy service yake Kaka
 
Kwanini ulipie pesa nyingi kwaajili ya kuangalia ligi pendwa duniani??

Misimu ya ligi za soka ndio hio inaanza

Pata channel 4 za soka bure kwaajili ya kuangalia ligi kubwa duniani yaani English Premier League(EPL), Spanish LALIGA, Bundesliga, Serie A, French Ligue 1 pamoja na mashindano makubwa duniani kama UEFA, FA, Capital One, International Championship na Olympic

Pia utaweza kuangalia mashindano mengine ya tennis, golf, mbio za magari, ngumi nk

Huhitaji kulipia kwa mwezi hata thumuni ya pesa yako, gharama itahitajika mwanzoni tu kwaajili ya vifaa na ufundi

Mahitaji;
-Dish kubwa (ft 6 au ft 8)
-Satellite receiver(yenye mfumo wa pv)
-C band LNB
-LNB cable(wire)
-Diseqc switch

[emoji117] Vifaa hivi vyote vinapatikana kwangu pamoja na ufundi

Pia utapata channel zinaonyesha movies,series, mieleka, wanyama, utafiti na sayansi

Mfumo huu una stability 90% reliability 90%, usihofu kukatiwa matangazo au utapeli

Mawasiliano(Call or text)
-0686811173
-0764453848
hicho kibgamuzi chako kinaitwaje mkuu
 
Back
Top Bottom