Dstv hamjambo?

astrologist

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2018
Posts
221
Reaction score
268
Vile vifurushi vyenu vya maelf bado bei ileile? Au mmeshusha hadi Tsh. 5000? Kwakweli kipindi hiki cha Covid-19 , Dstv mmeisoma namba nanyi kivyenu, maana siku hizi king'amuzi chenu ni sawa tu na StarTimes! Dstv bila EPL, UEFA champions League si lolote!
Tuendelee kunawa mikono na kufuata maelekezo yote yanatolewa na wizara ya Afya!
The world without Covid-19 is possible!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kuishushia hadhi DSTV.
Kuhusu vifurushi kwa sasa wana ofa inaitwa TUPO NAWE, iko hivi...... Ukilipia kifurushi ulichopo unapewa cha juu zaidi.
Bila mpira bado Dstv wana chaneli nzuri sana zitakazokufanya ulipie kifurushi kabla hakijakata, ni hivi DSTV imejitosheleza kulinganisha na hivyo ving'amuzi vingine ulivyovitaja.
World of Champions
 
kuna masiala mengine mtu anaweza rusha ngumi[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora hata wengekuwa na local chanel za kueleweka tungekuwa tunalipia tuangalie hata taarifa za habari lakini humu unakuta tbc zbc
 
Mbona wako poa tu hapa watoto wamekomaa na Disney junior

DSTV hawajambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…