Dstv kumbe hamna kitu, ni hovyo.Hongera Azam.

Dstv kumbe hamna kitu, ni hovyo.Hongera Azam.

Yaani wateja wako unawafikiria kwamba watapewa huduma na wengine, Kwamba kila mwenye Dstv ana Azam, akili za wapi hizi? Mechi za CAF Azam wanaonyesha na Dstv wanaonyesha, AFCON Azam wameonyesha na Dstv wameonyesha , halafu hizi za qualification eti wameachiwa waonyeshe wengine.Acheni janja janja.
Kwani Azam wateja wake wapenzi wa ligi ya uingereza wanapewa huduma na nani.Inawezekana dstv hakupata kibali chakuonyesha na kabla hujalalamika ungeuliza upate majibu ya kwanini hawajaonyesha.Haya mambo yana taratibu zake sio kujiamulia tu.
 
Kwani Azam wateja wake wapenzi wa ligi ya uingereza wanapewa huduma na nani.Inawezekana dstv hakupata kibali chakuonyesha na kabla hujalalamika ungeuliza upate majibu ya kwanini hawajaonyesha.Haya mambo yana taratibu zake sio kujiamulia tu.
Sijahitaji huduma ya NBC premier league kutoka Dstv sababu inajulikana hawaonyeshi. Kwa hiyo swali lako la epl kutoka Azam halina mantiki. Hakuna mteja wa Azam alipie kifurushi chake halafu ategemee kuona ligi ya uingereza , hayupo.

Hizi mechi za qualification hazina mlolongo wowote mrefu kupata vibali sema nyinyi mmepuuzia tu.
 
Sijahitaji huduma ya NBC premier league kutoka Dstv sababu inajulikana hawaonyeshi. Kwa hiyo swali lako la epl kutoka Azam halina mantiki. Hakuna mteja wa Azam alipie kifurushi chake halafu ategemee kuona ligi ya uingereza , hayupo.

Hizi mechi za qualification hazina mlolongo wowote mrefu kupata vibali sema nyinyi mmepuuzia tu.
[emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]
 
Back
Top Bottom