shida ya dstv ni kulipia usichotazama.. wanaka ulipie chaneli 100/wakati unazama 6 tu nafikiri ni wakati wa kulipia channel unazotaka tuazam hana hela ya kushinda hizo tenda... pia watanzania ni watu wa ajabu sana wanaweza taka aoneshe uefa kwa 28000
shida ya dstv ni kulipia usichotazama.. wanaka ulipie chaneli 100/wakati unazama 6 tu nafikiri ni wakati wa kulipia channel unazotaka tu
mi naona sports channel zote kupia xtv ninapotaka kungalia mpira natia bundle yangu ya 500 safi kabisa no dish no scratch no bufferingunapenda vizuri gharamia
Ni online kweli ila naskia wanavisumbusi vyao vinavyotumia dish au online, sasa sijajua kama wapo Tz au bado? anaejua atuambie naskia wanaonyesha mipira ya kumwaga na bei rahisi sana unalipia kwa bando.hawa ni wa online
Hii ni online ama?mi naona sports channel zote kupia xtv ninapotaka kungalia mpira natia bundle yangu ya 500 safi kabisa no dish no scratch no buffering
ndio sheikhHii ni online ama?
Kweli mkuuAisee wakuu namna ya kuipata hiyo xtv hebu wekeni bayana hili basi
sio bure ila ni nafuu sana ukilinganisha na dstv wasiliana +86 186 0305 4875 via whatsaap anatoa test account ya siku 7Aisee wakuu namna ya kuipata hiyo xtv hebu wekeni bayana hili basi
mi naona sports channel zote kupia xtv ninapotaka kungalia mpira natia bundle yangu ya 500 safi kabisa no dish no scratch no buffering
Unafanyaje kaka heb tupe ujuz km n application tuwekee hapandio sheikh
mi naona sports channel zote kupia xtv ninapotaka kungalia mpira natia bundle yangu ya 500 safi kabisa no dish no scratch no buffering