Kiwembe 0
JF-Expert Member
- Oct 4, 2016
- 536
- 602
Sio kwa kila mtu hilo bando linamfikia yaani ni laini baadhi tuP
Aisee sikujua kama bundle ni bei rahisi hivyo. Huko kusumbua kwa internet ndio tatizo kubwa ambalo lingetatuliwa waangaliaji wa mpira kwa streaming wangeongezeka.
2000/= gb5 nitaitafuta hio mkuu.
Piga *149*03#
Intaneti ya Bongo ni majanga hakuna mtandao wowote unaojiweza