Dstv kurusha mechi zote 64 live in HD kwa kifurushi cha Tsh 19,000/=

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Sisi wateja wa soka hasa msimu huu wa kombe la dunia burudani imesogezwa sebuleni kwetu, kwani kwa kifurushi cha Bomba cha Tsh 19,000 tutapata mechi zote 64 za kombe la dunia katika mfumo wa High Definition ( HD ). Wapenzi wa soka kazi ni kwetu sasa...
 
kuna jamaa humu anahusika na ufungaji wa haya madishi..ni nani ?
 

asante kwa taarifa boss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…