Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yoruba unaangalia nini mkuu
Hahaha interestingBora ungeniuliza hausa nilishaandaa gazeti la kujieleza. Yoruba kuna vi movies vifupi vya kinigeria vizuri sana. Bado kuna kipindi cha mapishi ule ugali wao mlaini mzuri kwa kuuangalia wanavyoupika na kujaza mafuta kwenye mboga
Ni kweliHawa jamaa wanaweza kukuwekea movie ya aina moja wakawa wanairudia rudia kwenye chaneli zao feki za movies.
Kila ukifungua chaneli yao ya movie unakutana na movie ulio iona jana
Wajanja sana hawa jamaa😂
Kwa hiyo anataka wote mkapange foleni kwenye geti la muhindi hahahaUnafikiri hafanyi KAZI.
Tatizo la wabongo kutaka wote mfanye KAZI za kujitesa na shida shida....ushamba tuu
Tatizo tunajifanyaga busy for nothing. Blah blah nyingiKwa hiyo anataka wote mkapange foleni kwenye geti la muhindi hahaha
😀😀😀 kweli kabisa ufanyaji kazi umetofautiana kuna mwingine yupo dukani ,huku kwa juu ameweka tv anamburudisha, ana haki yakulalamika kwa huduma inayotolewa kama hairidhishi.Unafikiri hafanyi KAZI.
Tatizo la wabongo kutaka wote mfanye KAZI za kujitesa na shida shida....ushamba tuu