DSTV na utapeli wa movies za kujirudia rudia.

Unafikiri hafanyi KAZI.
Tatizo la wabongo kutaka wote mfanye KAZI za kujitesa na shida shida....ushamba tuu
😀😀😀 kweli kabisa ufanyaji kazi umetofautiana kuna mwingine yupo dukani ,huku kwa juu ameweka tv anamburudisha, ana haki yakulalamika kwa huduma inayotolewa kama hairidhishi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…