mandevuclassic
Member
- Nov 23, 2013
- 79
- 119
Kifurushi cha kuanzia 69000 ndo nafuu kwa michezo...ndg zangu kuna njia rahisi ya kuangalia mpira kwa bei nafuu zaidi bila ya kutumia DStv
-startimes unaangalia..ligi ya france,jerumani, ueropa league,ligi ya uholanzi, Ubeligiji kwa sh 19,000/=
- ligi ya England,hispania,uefa na seria A naangalia kwa kutumia live streaming.. laini ya halotel wanachuo 350mb- 500mb una uwezo wa kuangalia gemu moja..au wikendi nzima gb 3 kwa 3000/= ..ukitumia sana ni 5000/ kwa wiki hivyo kwa mwezi ni sh 20000
20000+19000= 39000...!
Unakuwa umesavu 40,000/= (wengine mna laini za chuo za tigo,voda na ttcl huko nako wanatoa mb nyingi tu)
-startimes unaangalia..ligi ya france,jerumani, ueropa league,ligi ya uholanzi, Ubeligiji kwa sh 19,000/=
- ligi ya England,hispania,uefa na seria A naangalia kwa kutumia live streaming.. laini ya halotel wanachuo 350mb- 500mb una uwezo wa kuangalia gemu moja..au wikendi nzima gb 3 kwa 3000/= ..ukitumia sana ni 5000/ kwa wiki hivyo kwa mwezi ni sh 20000
20000+19000= 39000...!
Unakuwa umesavu 40,000/= (wengine mna laini za chuo za tigo,voda na ttcl huko nako wanatoa mb nyingi tu)