DStv wametoa ofa ya chaneli zote bure kuanzia 27 mpaka 29 Desemba hata kama hujalipia

Camilo Cienfuegos

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2015
Posts
18,960
Reaction score
67,654
Mtaani mchuano wa DStv na AzamTv ni Mkali sana.

DStv katika kuendana na kasi ya AzamTv ameamua kuachia ofa chaneli zote bure hata kama hujalipia kuanzia jana Desemba 27 mpaka kesho Desemba 29.

Siku za karibuni DStv amekuwa akipungukiwa na wateja hii ni baada ya AzamTv kuliteka soko la ndani kupitia NBC PL.

Pia ongezeko la streaming sites zimefanya kampuni ya DStv kuchuja na kukimbiwa na wateja wengi

Haya wale ambao hamjalipia DStv zenu washeni dikoda mtiririke kwa hizi siku mbili za ofa.

 
Aseeeeee! Embo ngoja nifute vumbe ile legend yangu.
 
Mimi kwangu wameziacha kabla ya christmas channel karibu zote zilikuwa zinaonyesha wakati kakifurushi kangu ni kale ka 37500
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…