Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
Aseeeeee! Embo ngoja nifute vumbe ile legend yangu.Mtaani mchuano wa DStv na AzamTv ni Mkali sana.
DStv katika kuendana na kasi ya AzamTv ameamua kuachia ofa chaneli zote bure hata kama hujalipia kuanzia jana Desemba 27 mpaka kesho Desemba 29.
Siku za karibuni DStv amekuwa akipungukiwa na wateja hii ni baada ya AzamTv kuliteka soko la ndani kupitia NBC PL.
Pia ongezeko la streaming sites zimefanya kampuni ya DStv kuchuja na kukimbiwa na wateja wengi
Haya wale ambao hamjalipia DStv zenu washeni dikoda mtiririke kwa hizi siku mbili za ofaView attachment 3186885
Kesho kuna EPL mwa mwiChannel zote? Izo siku hakuna EPL kwanza.
Kumbe walijibu jeuriDstv had kesho wanajuta kumdharau tenga wakati anawafuata kuwaambia waoneshee ligi walijibu haina hadhi hiyo
Kwa kweli muktadha wa "channel zote" ni lazima uwekwe wazi hapaChannel zote? Izo siku hakuna EPL kwanza.
chaiDstv had kesho wanajuta kumdharau tenga wakati anawafuata kuwaambia waoneshee ligi walijibu haina hadhi hiyo
EPL kesho tar 29 mzeeChannel zote? Izo siku hakuna EPL kwanza.
Mimi kwangu wameziacha kabla ya christmas channel karibu zote zilikuwa zinaonyesha wakati kakifurushi kangu ni kale ka 37500Mtaani mchuano wa DStv na AzamTv ni Mkali sana.
DStv katika kuendana na kasi ya AzamTv ameamua kuachia ofa chaneli zote bure hata kama hujalipia kuanzia jana Desemba 27 mpaka kesho Desemba 29.
Siku za karibuni DStv amekuwa akipungukiwa na wateja hii ni baada ya AzamTv kuliteka soko la ndani kupitia NBC PL.
Pia ongezeko la streaming sites zimefanya kampuni ya DStv kuchuja na kukimbiwa na wateja wengi
Haya wale ambao hamjalipia DStv zenu washeni dikoda mtiririke kwa hizi siku mbili za ofa.
View attachment 3186885
Lengo ni wa kuonjeshe ulimwengu wa channel zingine ili upande kifurushiMhuu😏 me nilijua mwezi
Mzima, sasa siku mbili za nini😭
Kwa mara ya kwanza niangalie EPL ghettoEPL kesho tar 29 mzee
Oph yaah, Naona hapa kwenye M-NET wamefungua nyingine👌🏼Lengo ni wa kuonjeshe ulimwengu wa channel zingine ili upande kifurushi
Mbona mnaandika kimafumbo mnatutenga watu wa makabila mengineKesho kuna EPL mwa mwi
Nipo live na sijalipia.Leo tarehe 28, na nimefungiwa zote
English Premier LeagueMbona mnaandika kimafumbo mnatutenga watu wa makabila mengine
Asante mkuuEnglish Premier League