Dstv wanapaswa kutujali wateja wao. Nmelipa king’amuzi mwezi sasa unaisha lakini kila nikiwasha niangalie naambiwa bad weather

Dstv wanapaswa kutujali wateja wao. Nmelipa king’amuzi mwezi sasa unaisha lakini kila nikiwasha niangalie naambiwa bad weather

casperdanielle

New Member
Joined
Dec 20, 2023
Posts
1
Reaction score
0
Dstv wanapaswa kutujali wateja wao. Nmelipa king’amuzi mwezi sasa unaisha lakini kila nikiwasha niangalie naambiwa bad weather na jua hili kali la dodoma bad weather inatoka wapi mwezi mzima?

Nimeleta mpaka fundi ananiambia hakuna tatizo channel moja tu ya supersport blitz ndo inaonesha swala hili limekua kero sana
 
Pole mkuu,wakija wenyewe dstv watakwambia badili king'amuzi
 
Back
Top Bottom