Dstv wapandisha bei ya vifurushi kuanzia Septemba 1 mwaka huu

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Mwaka mmoja baada ya kushusha bei ya vifurushi vyake, kampuni ya Multichoice kupitia Digital Setilitte Television (Dstv) imetangaza bei mpya ya vifurushi vyake. Bei hizo zitaanza rasmi Septemba mosi mwaka huu. Bei mpya ya vifurushi vya Dstv ni kama inavyoonekana hapo pichani

Ndugu mwana JF ukiwa kama mdau wa Dstv unamaoni gani kuhusu bei hizi mpya? Na ungependa nini kiongezwe au kipunguzwe ili kuendana na bei mpya ya mwezi Septemba??
 
Kwan zaman kifurushi cha bomba kilikuwa sh ngap
 
That's business mkuu usiwapangie watu Cha kufanya,wakati wewe unalalama na wao wanalia gharama za uendeshaji kuwa juu,hzo chanels unazoziona mpk kukufikia wewe haziruki tu kirahisi rahisi Kama unavyodhani....Hakuna biashara ngumu Kama hyo ya paytv uliza uambiwe
 
No, ni gharama kubwa mno. Hawana vipindi vipya sana, movies wanazirudia weeee, tangu naangalia nikiwa shule mpaka sasa nakaribia kustaafu ni zike zile.

Wakina mama wanaangalia series zilizooneshwa tangu kipindi cha Passion ya ITV. 2020 unaonesha movie ya 1978 kwaajili ya?

Kuna siku unashika remote control, unaanza 103 mpaka 198, huoni cha maana kwa zaidi ya masaa 8, na vingi unakuta umeshaangalia kwenye hiyo hiyo DStv
 
Waangalie tu. Ma Dish yao tutakaangia samaki. Na kwenda kuunga juhudi za Lambalamba.

Kwa maana hakuna jipya zaidi ya kuminya chanell.

Hakuna siku nimeona wezi kama lipojiunga kwa tecnic yao weka tukuongezee, halafu nikaweka wakala kichwa
 

Nikuulize wewe kama nani? Na sehemu gani nimewapangia? Balance shobo
 
Reactions: Pep
Karibu mkuu.
wengi tumekuwa DSTV kwa kuangalia wazazi wetu lakini tulipooa tukafuata maoni ya wake zetu na kuikubali AZAM .
Hawa ni wa kuwahama2 hawana jipya zaidi ya unyonyaji tu kwa ss tuwaunge mkono azam hakuna jinsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…