Akifungiwa na Bulldoza unataka sisi Wazee tukakanyage wapi mafuta 😜Bado mwamposa
Heading iwe KUONDOA na si YAONDOA sababu bado hiyo channel ipo kwenye DStv.Kampuni ya televisheni ya Afrika Kusini ya Multichoice Africa imetangaza kuwa itasitisha matangazo ya Emmanuel TV, kituo cha kidini inayomilikiwa na marehemu Nabii Temitope Babatunde Joshua, mwanzilishi wa Kanisa la Synagogue Church of All Nations, kuanzia Januari 17, 2024.
Uamuzi huo unafuatia filamu yenye utata iliyorushwa na BBC ikielezea madai ya ukatili na uhalifu wa kingono uliofanywa na T.B. Yoshua.
Mkiambia Matrix inaongoza dunia mnabisha
Elites au kikundi chenye nguvu ya pesa na power wanaotaka mfwate kanuni zao walizoweka...wenyewe ndio huamua ufike wap au usifike wapMatrix ninini mkuu?
SS 225 ,SS 222 Afcon 2024Hapa dawa ni kuachana na king'amuzi chao
🤣🤣🤣Bado mwamposa
😁😁 Mmekuwa kama wakatoriki na tamko la papa Fransis😀😀😀... Furahini tu mmejua what is behind the screen... Haiwezekani watu wote wale washuhudie mabaya yake kusiwe na hata moja la kweli... Na wengi wa azidi kujitokeza kusema yasioratibiwa na BBC... Kama huyu hapa aliekuwa mhariri wa habari wake👇Hii kashfa kama ni kweli ni mbaya sana.
Tulikuwa na imani na TB Joshua, tulifuatilia sana tv yake hadi kuishika screen tukijua ni njia ya kupeleka maombi yetu kwa Mungu.
Waamini tumekufa ganzi sema tunajikaza tu hivyo hivyo.