Dstv yaondoa channel ya Emmanule Tv ya TB Joshua

Dstv yaondoa channel ya Emmanule Tv ya TB Joshua

Akifungiwa na Bulldoza unataka sisi Wazee tukakanyage wapi mafuta 😜

All in all Dini imekuwa biashara inayolipa sana nowadays
Kuna redio jana nimesikia kabisa wanatangaza kuwa ukitaka mafuta Dar utayapata duka fulani, Mwanza yako kwa fulani, Arusha nk😀😀
 
Hii kashfa kama ni kweli ni mbaya sana.

Tulikuwa na imani na TB Joshua, tulifuatilia sana tv yake hadi kuishika screen tukijua ni njia ya kupeleka maombi yetu kwa Mungu.

Waamini tumekufa ganzi sema tunajikaza tu hivyo hivyo.
BBC wamefanya uchunguzi wa muda mrefu, Na sisi waafrica tupungeze kumuona binadamu mwenzetu kama Mungu
 
Kuna redio jana nimesikia kabisa wanatangaza kuwa ukitaka mafuta Dar utayapata duka fulani, Mwanza yako kwa fulani, Arusha nk😀😀
Na wanapiga hela ndefu sana kupitia hayo mafuta, maji, vitambaa n.k

Kuna mtu mmoja alinambia kwa kila ibada moja ya Mwamposa hakosi sadaka ya shilingi 75,000,000

Unadhani kwa mapato hayo, kuna biashara gani unaweza kufanya ikakuletea hela nyingi hivyo kwa mara moja bila kusuasua
 
Hii kashfa kama ni kweli ni mbaya sana.

Tulikuwa na imani na TB Joshua, tulifuatilia sana tv yake hadi kuishika screen tukijua ni njia ya kupeleka maombi yetu kwa Mungu.

Waamini tumekufa ganzi sema tunajikaza tu hivyo hivyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan unashika screen kupitia channel ya TB Joshua ili ujumbe ufike kwa Mungu?

Mama hapan hauko serious.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan unashika screen kupitia channel ya TB Joshua ili ujumbe ufike kwa Mungu?

Mama hapan hauko serious.
Ogopa kitu kinaitwa Imani

Unajua na wale wenzetu huwa wakienda Kuhiji kule kuna wakati wanarusha mawe kumpiga shetani...

Unataka kusema kwa akili za kawaida utaweza kufanya hivyo kumpiga shetani ambaye humuoni?

Imani ni kitu kingine aisee 🙌
 
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
yaan unashika screen kupitia channel ya TB Joshua ili ujumbe ufike kwa Mungu?

Mama hapan hauko serious.
Nyie mliozaliwa baada ya CCM kuja mengi hamyajui, hivi ukiambiwa miaka hiyo kule mbeya tulikuwa tunajaazana kanisani lakini mahubiri tunasikiliza redio ya kakobe na tunaongozwa sala ya toba hapo hapo
 
Hii kashfa kama ni kweli ni mbaya sana.

Tulikuwa na imani na TB Joshua, tulifuatilia sana tv yake hadi kuishika screen tukijua ni njia ya kupeleka maombi yetu kwa Mungu.

Waamini tumekufa ganzi sema tunajikaza tu hivyo hivyo.

Asee wanawake!! Hua napata kigugumizi sana napoangalia wanangu bado wadogo, nikiondoka saivi mama ndo inabidi abaki kama msimamizi, ila sasa akili za wanawake ndo hapa hua zinanivunja moyo, yani hua navunjika moyo kabisa.
 
Wote hao ni freemason washamtumia wamemuua hana faida kwao.
Mbona channel kibao za dstv zimejaa uharibifu hawaziondoi.
Hakuna kampuni inayomsaidia shetani kuharibu Dunia kama DSTV
 
Mwafrika akifa anaondoka na vitu vyake, hapo unakuta si mke wala watoto walifundishwa kusimamia hizo mali
Inategemea aliipataje mali na mashart yake ili idumu.
Sasa kama kafara hakuna,kutafuna bikira hakuna,shetani mjomba wako akupende akupe mali bure bure bila faida.
Shetani ni sawa na mwanamke Malaya Malaya uhusiano wenu unadumu kwa pesa uumpayo Leo.
 
Elites au kikundi chenye nguvu ya pesa na power wanaotaka mfwate kanuni zao walizoweka...wenyewe ndio huamua ufike wap au usifike wap
Wakishakutumia wanakutema wanainua mwingine
 
Kampuni ya televisheni ya Afrika Kusini ya Multichoice Africa imetangaza kuwa itasitisha matangazo ya Emmanuel TV, kituo cha kidini inayomilikiwa na marehemu Nabii Temitope Babatunde Joshua, mwanzilishi wa Kanisa la Synagogue Church of All Nations, kuanzia Januari 17, 2024.

Uamuzi huo unafuatia filamu yenye utata iliyorushwa na BBC ikielezea madai ya ukatili na uhalifu wa kingono uliofanywa na T.B. Yoshua.
Ni sawa ulicho kisema ila Emmanuel TV walisha tanga mda mrefu ya kuwa watasitisha matangazo yao kupitia Multichoice tokea mwaka jana mwezi wa 10 sababu hawakuiseama, Tena walikuwa wana andika kwenye chanel yao.
 
DSTV wametumia kigezo gani kuifungia hiyo channel?

Wamewahi kumuhoji nani wa kanisa la TB Joshua ili kuthibitisha madai ya BBC dhidi yake?

Au kwao, uchunguzi wa BBC ndio final and conclusive usiotakiwa kuhojiwa na yeyote?

DSTV nao wamekurupuka tu, sitashangaa siku za mbeleni wakiirudisha hiyo channel.
Nakazia
 
Back
Top Bottom