Kumbe walipigwa rugu la kushusha ga daraja kwa kosa lipi au kupanga matokeoIle ni singida united sema kutokana na rungu walilopigwa la kushushwa madaraja matatu wakaamua kuja kivingine
Ulaya nako wanazipa timu zao majina ya kitanzania!BIG STARS.
Tayari utopolo wana point 3 kabla hata ligi ya mwakani haijaanza.Utopolo anaongoza ligiBaada ya kupanda daraja na kuingia NBC premier league klabu ya DTB imebadilisha jina lake na kuitwa SINGIDA BIG STARS. Je, Inahitimisha tetesi kuwa DTB ilikuwa inamilikiwa na Mwigulu Nchemba?
Hakuna conflict of interest kati yake na DTB ambayo ni benki?
Kivipi ni affiliate au ikiwa hivo nani aliwa mnduku tumpongeze kwa uwekezajiBaada ya kupanda daraja na kuingia NBC premier league klabu ya DTB imebadilisha jina lake na kuitwa SINGIDA BIG STARS. Je, Inahitimisha tetesi kuwa DTB ilikuwa inamilikiwa na Mwigulu Nchemba?
Hakuna conflict of interest kati yake na DTB ambayo ni benki?
Baada ya kupanda daraja na kuingia NBC premier league klabu ya DTB imebadilisha jina lake na kuitwa SINGIDA BIG STARS. Je, Inahitimisha tetesi kuwa DTB ilikuwa inamilikiwa na Mwigulu Nchemba?
Hakuna conflict of interest kati yake na DTB ambayo ni benki?
Au ulipenda iwe Singida city?A very poor choice of name
Sio tatu sema sitaTayari utopolo wana point 3 kabla hata ligi ya mwakani haijaanza.Utopolo anaongoza ligi
Mchezo unaendeleamane laundaringi