LUS0MYA
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 866
- 1,109
Baada ya kupanda daraja na kuingia NBC premier league klabu ya DTB imebadilisha jina lake na kuitwa SINGIDA BIG STARS. Je, Inahitimisha tetesi kuwa DTB ilikuwa inamilikiwa na Mwigulu Nchemba?
Hakuna conflict of interest kati yake na DTB ambayo ni benki?
Hakuna conflict of interest kati yake na DTB ambayo ni benki?