Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Me mwenyewe nashangaa siku hizi mbona kazidisha ngonjera!Hii I'd ya mkuu bujibuji imedukuliwa
Umeona katibu wa Masanja kafaidi eeh, sasa na wewe unataka kufungua la kwako ukijiita Nabii na Mtume, Dk. Bujibuji holy fire templeluckyline , asante sana kwa dua, sala na maombi haya.
Mungu Baba katika jina la mwanao Bwawa wetu Yesu Kristo nakuja kwako kwa maombi maalumu.
Nawaombea wanaume wote ulimwenguni wanyime vyote, ila usiwanyime hivi vitu viwili;
1. Nguvu za kiume.
2. Vipesa vya matumizi visivyo vya kusuasua.
Mungu no 1 & 2 viwe sambamba, kisikose kimojawapo.
Amina.
Aisee.... haya mambo ni hatari sana, watu wengine hatuna upako wa kufanya huduma ya kanisa, tuna upako maeneo mengine kabisaaaaaUmeona katibu wa Masanja kafaidi eeh, sasa na wewe unataka kufungua la kwako ukijiita Nabii na Mtume, Dk. Bujibuji holy fire temple
Upako wa kula tunda kimasihara?Aisee.... haya mambo ni hatari sana, watu wengine hatuna upako wa kufanya huduma ya kanisa, tuna upako maeneo mengine kabisaaaaa
Haha hahah don't judge too much. Hapa JF ni ngumu sana kuujua uhalisia wa mtu. Hapa ndio sehemu pekee ambapo mtu mmoja anakuwa na tabia za aina mbalimbali kwasababu mbalimbaliBujibuji una umri gani lakini🤷
Sikuelewagi mambo yako kama kuna stage uliziruka vile
Weee, apia........Upako wa kula tunda kimasihara?
Sawa haina shida. Enjoy✌️Haha hahah don't judge too much. Hapa JF ni ngumu sana kuujua uhalisia wa mtu. Hapa ndio sehemu pekee ambapo mtu mmoja anakuwa na tabia za aina mbalimbali kwasababu mbalimbali
Kwa wanaojua tuHaha hahah don't judge too much. Hapa JF ni ngumu sana kuujua uhalisia wa mtu. Hapa ndio sehemu pekee ambapo mtu mmoja anakuwa na tabia za aina mbalimbali kwasababu mbalimbali
Maisha yako deadly serious, kila siku hali ni mbaya zaidi ya jana. Hapa ndio sehemu pekee ya ku discharge negative energy tunazozipata kutokana na ugumu wa maisha.Sawa haina shida. Enjoy✌️
Hawa watoto wa juzi hawajui tuliko toka wala misukosuko tuliyokutana nayo mwaka 2006/2007 zama za Jambo Forums.Kwa wanaojua tu
Nimerudi tena kuisoma comment yako aiseeUpako wa kula tunda kimasihara?
Sijala uteuzi badoWeee, apia........
Isome tena bro, haina mbayaNimerudi tena kuisoma comment yako aisee
🤪😜Kwa wanaojua tu
Huyu babu mzinguzi sana, achana naye. Wengine maspy humu wanatuchora tuBujibuji una umri gani lakini🤷
Sikuelewagi mambo yako kama kuna stage uliziruka vile